Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shehena ya magogo yanaswa

Makontena sita yaliyobeba magogo yaliyokuwa yakisafirishwa kwenda nje kwa njia za magendo yamekamatwa katika Bandari ya Malindi, Kisiwani Unguja kabla ya kusafirishwa kuelekea nchini China, imefahamika visiwani humu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mabomu hatari yanaswa



NA CLARENCE CHILUMBA, MASASI JESHI la Polisi mkoani Mtwara, linawashilkilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na mabomu 18 ya kutengenezwa kwa kutumia vifaa hatari vya kupasulia miamba. Habari za kuaminika zinasema watuhumiwa hao walikamatwa kwa nyakati tofauti kutokana na kuishi maeneo tofauti. Pia walinaswa na nyaya na unga maalumu ambao ni malighafi zinazotumika katika kutengeneza mabomu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Augustino Ullomi, alisema watuhumiwa hao walitiwa mbaroni mapema...

 

11 years ago

BBCSwahili

Siagi ya Uruguay yanaswa Brazil

Wasimamizi wa uwanja wa ndege Brazil wamezuia kilo 39 za siagi ya karameli kutoka timu ya Uruguay

 

9 years ago

Habarileo

Makontena yanaswa sakata TRA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata makontena tisa, yaliyotoroshwa kutoka katika bandari kavu na kuhamishiwa katika eneo la Mbezi Tangi Bovu, Dar es Salaam, hivyo kuwepo na kiashiria cha ukwepaji wa kodi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Heroin yanaswa Afrika kusini

Polisi Afrika kusini imenasa heroin yenye thamani ya zaidi ya dola milioni 190 na washukiwa watatu wanazuiwa kwa kudaiwa kuhusika

 

11 years ago

Mwananchi

Meno ya tembo kilo 130 yanaswa

Ikiwa ni muda mfupi baada ya Rais Jakaya Kikwete kukiri kuwa vita dhidi ya ujangili ni tatizo sugu linaloielemea Tanzania, Jeshi la Polisi mkoani Mtwara na Singida linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kukutwa wakisafirisha nyara za Serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Meli ya Korea Kaskazini yanaswa Libya

Serikali ya Libya imesema imeikamata meli iliyokuwa na bendera ya Korea Kaskazini ikiwa na shehena haramu ya mafuta ghafi

 

10 years ago

Habarileo

Milipuko hatari yanaswa msikitini Morogoro

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, akionesha baadhi ya milipuko iliyokamatwa na jeshi la polisi kwa msaada wa raia wema.POLISI mkoani hapa imewatia mbaroni watu zaidi ya tisa wanaojihusisha na uhalifu wakiwa na milipuko hatari na zana za milipuko, wakiwa wamefichwa ndani ya Msikiti wa Suni kata ya Kidatu, wilayani Kilombero, mkoani Morogoro.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madini ya mil. 547 yanaswa yakitoroshwa nje

WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), umekamata watoroshaji madini aina mbalimbali yenye thamani ya zaidi ya sh milioni 547 katika matukio 11 tofauti, kuanzia Oktoba 2013 hadi mwishoni mwa...

 

10 years ago

GPL

MAJENGO YA KISASA MPAKANI NAMANGA-ARUSHA YANASWA NA GLOBAL

 Baadhi ya majengo  ya kisasa yaliyopo katika mpaka wa Namanga-Arusha .…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani