Milipuko hatari yanaswa msikitini Morogoro
POLISI mkoani hapa imewatia mbaroni watu zaidi ya tisa wanaojihusisha na uhalifu wakiwa na milipuko hatari na zana za milipuko, wakiwa wamefichwa ndani ya Msikiti wa Suni kata ya Kidatu, wilayani Kilombero, mkoani Morogoro.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 Apr
10 wakamatwa na milipuko msikitini
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linawashikilia watu 10 waliokamatwa msikitini wakiwa na vifaa mbalimbali, ikiwamo milipuko 30, sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na bendera nyeusi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonald Paul alisema tukio hilo lilitokea Aprili 14, mwaka huu saa 3.30 usiku katika Kitongoji cha Nyandero, Tarafa ya Kidadu wilayani Kilombero.
Kamanda Paul alisema watu hao...
10 years ago
VijimamboWATU 10 WAKAMATWA MSIKITINI WAKIWA NA MILIPUKO, SARE ZA JESHI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-u22LB1NxPb0/VS9UoWVMdPI/AAAAAAABLtA/dQetrLtB5tg/s1600/11152703_867991246613470_1520792993635882528_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Watu 10 wakamatwa msikitini wakiwa na milipuko, sare za jeshi, bendera ya Al Shabaab
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Mabomu hatari yanaswa
NA CLARENCE CHILUMBA, MASASI JESHI la Polisi mkoani Mtwara, linawashilkilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na mabomu 18 ya kutengenezwa kwa kutumia vifaa hatari vya kupasulia miamba. Habari za kuaminika zinasema watuhumiwa hao walikamatwa kwa nyakati tofauti kutokana na kuishi maeneo tofauti. Pia walinaswa na nyaya na unga maalumu ambao ni malighafi zinazotumika katika kutengeneza mabomu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Augustino Ullomi, alisema watuhumiwa hao walitiwa mbaroni mapema...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Akamatwa na zana hatari Morogoro
11 years ago
MichuziBARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Shehena ya magogo yanaswa
9 years ago
Habarileo02 Dec
Makontena yanaswa sakata TRA
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata makontena tisa, yaliyotoroshwa kutoka katika bandari kavu na kuhamishiwa katika eneo la Mbezi Tangi Bovu, Dar es Salaam, hivyo kuwepo na kiashiria cha ukwepaji wa kodi.
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Siagi ya Uruguay yanaswa Brazil