Waethiopia 47 wadakwa Msitu wa Mwidu Pwani
Raia 47 wa Ethiopia wamekamatwa katika Msitu wa Mwidu ulioko eneo la Chalinze wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Waethiopia 42 wadakwa Dar
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Waethiopia 11 wakamatwa Pwani
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu 11 wanaodaiwa kuwa raia wa Ethiophia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sharia. Waethiophia hao walikamatwa juzi, saa tisa usiku, katika kijiji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-icBEOb4U51k/U_iKGrUwggI/AAAAAAAGBys/GppP3ngcNtQ/s72-c/image061.jpg)
WAETHIOPIA 48 WAKAMATWA MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-icBEOb4U51k/U_iKGrUwggI/AAAAAAAGBys/GppP3ngcNtQ/s1600/image061.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia raia 48 wa nchi ya Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini bila ya kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha Kaimu kamanda wa Polisi mkoani humo, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Athuman Mwambalaswa alisema kuwa watuhumiwa hao walitelekezwa vichakani.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 21 mwaka huu majira ya saa 7 usiku katika Kijiji cha Visakazi Ubena Zomozi tarafa ya...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Waethiopia 100 wakamatwa Pwani
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia raia 100 wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini bila kibali katika matukio mawili tofauti. Wahamiaji hao haramu walikamatwa saa 10:00 asubuhi Februari...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s72-c/IMG_2739.jpg)
WANUSURIKA KUFA KUFUATIA AJALI YA GARI KIJIJI CHA MWIDU MKOANI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-AdZeyYVXI88/VJuy4-uLExI/AAAAAAAG5tg/t6Jq2uF2Onc/s1600/IMG_2739.jpg)
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Matapeli 15 wa viwanja wadakwa
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
WAHAMIAJI HARAMU 21 WADAKWA MAKAMBAKO
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Warundi wadakwa na meno 25 ya tembo
11 years ago
Habarileo14 Dec
Wasicha wadakwa na Heroine za mil. 135/-
WASICHANA wawili raia wa Tanzania wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakihusishwa na pipi 187 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 135 walizokuwa wamezimeza.