Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasicha wadakwa na Heroine za mil. 135/-

WASICHANA wawili raia wa Tanzania wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakihusishwa na pipi 187 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 135 walizokuwa wamezimeza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Akamatwa na heroine za mil 64/-

MKAZI wa Tabata Liwiti, Dar es Salaam, Maulid Mfaume (36) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) akiwa na pipi 83 za dawa za kulevya aina ya heroin, zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 64 zikiwa tumboni.

 

9 years ago

Mwananchi

Matapeli 15 wa viwanja wadakwa

Zaidi ya watu 15 wamekamatwa kwa tuhuma za uvamizi na uuzaji wa viwanja vya watu katika Mtaa wa Kulangwa, Kata ya Goba Manispaa ya Kinondoni katika kipindi cha wiki moja.

 

9 years ago

Mwananchi

Waethiopia 42 wadakwa Dar

Polisi Mkoa wa Kinondoni Dar es Salaam, wanawashikilia raia 42 wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini na kuishi bila ya kuwa na vibali.

 

10 years ago

Mwananchi

Warundi wadakwa na meno 25 ya tembo

Polisi mkoani Katavi wanawashikilia watu wawili raia wa Burundi kwa tuhuma za kuwakuta na meno ya tembo 25 yakiwa na uzito wa kilo 42 yenye thamani ya Sh148 milioni.

 

10 years ago

KwanzaJamii

WAHAMIAJI HARAMU 21 WADAKWA MAKAMBAKO

IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara ya Uhamiaji, Rose Mhagama alisema wahamiaji hao walikamatwa Agosti 14, mwaka huu, saa 12:30 jioni wakati kikosi cha uhamiaji kikiwa katika doria. Mhagama alisema kuwa kikosi hicho kilifanikiwa kubaini lori lililowabeba likitokea Makambako kuelekea Songea lenye namba za usajili T587 CSN likiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

EU yaipatia Tanzania bil. 135/-

UMOJA wa Ulaya (EU) umeipatia Serikali ya Tanzania msaada wa sh bilioni 135 kwa ajili ya kusaidia kuinua sekta ya kilimo, usafirishaji na nishati. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

10 years ago

Dewji Blog

135 wafa katika ajali Singida

DSC01646

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka ,akitoa taarifa ya utendaji kazi mkoani Singida kwa kipindi cha kuanzia Januari hadi Septemba mwaka huu.

DSC01655

DSC01658

Baadhi ya waandishi wa habari na askari polisi waliohudhuria hafla ya kamanda wa polisi mkoa wa Singida kwa ajili ya kutoa taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha miezi tisa.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

JUMLA ya ajali 89 za barabarani, zimetokea mkoani hapa na kusababisha vifo vya watu 135...

 

11 years ago

Mwananchi

Saccos Maktaba yanunua hekta 135

Chama cha Akiba na Mikopo cha Maktaba Saccos, kimenunua ardhi yenye ukubwa wa hekta 135 kwa Sh138 milioni, kwa ajili ya kuwakopesha wanachama wake ili kujenga nyumba za makazi.

 

9 years ago

Illicit Drugs In Eight Regions

TFDA, Police Seize 135 Million/


TFDA, Police Seize 135 Million/ - Illicit Drugs in Eight Regions
AllAfrica.com
Police have filed 19 cases following an operation against illicit drugs and cosmetics carried out jointly with the Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) in eight regions of the country last month. TFDA Director General, Mr Hiiti Sillo, told a joint ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani