Wasicha wadakwa na Heroine za mil. 135/-
WASICHANA wawili raia wa Tanzania wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakihusishwa na pipi 187 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 135 walizokuwa wamezimeza.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Dec
Akamatwa na heroine za mil 64/-
MKAZI wa Tabata Liwiti, Dar es Salaam, Maulid Mfaume (36) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) akiwa na pipi 83 za dawa za kulevya aina ya heroin, zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 64 zikiwa tumboni.
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Matapeli 15 wa viwanja wadakwa
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Waethiopia 42 wadakwa Dar
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Warundi wadakwa na meno 25 ya tembo
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
WAHAMIAJI HARAMU 21 WADAKWA MAKAMBAKO
11 years ago
Tanzania Daima09 May
EU yaipatia Tanzania bil. 135/-
UMOJA wa Ulaya (EU) umeipatia Serikali ya Tanzania msaada wa sh bilioni 135 kwa ajili ya kusaidia kuinua sekta ya kilimo, usafirishaji na nishati. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
10 years ago
Dewji Blog01 Nov
135 wafa katika ajali Singida
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka ,akitoa taarifa ya utendaji kazi mkoani Singida kwa kipindi cha kuanzia Januari hadi Septemba mwaka huu.
Baadhi ya waandishi wa habari na askari polisi waliohudhuria hafla ya kamanda wa polisi mkoa wa Singida kwa ajili ya kutoa taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha miezi tisa.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
JUMLA ya ajali 89 za barabarani, zimetokea mkoani hapa na kusababisha vifo vya watu 135...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Saccos Maktaba yanunua hekta 135
9 years ago
Illicit Drugs In Eight Regions15 Sep
TFDA, Police Seize 135 Million/
AllAfrica.com
Police have filed 19 cases following an operation against illicit drugs and cosmetics carried out jointly with the Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) in eight regions of the country last month. TFDA Director General, Mr Hiiti Sillo, told a joint ...