Matapeli 15 wa viwanja wadakwa
Zaidi ya watu 15 wamekamatwa kwa tuhuma za uvamizi na uuzaji wa viwanja vya watu katika Mtaa wa Kulangwa, Kata ya Goba Manispaa ya Kinondoni katika kipindi cha wiki moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Waethiopia 42 wadakwa Dar
Polisi Mkoa wa Kinondoni Dar es Salaam, wanawashikilia raia 42 wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini na kuishi bila ya kuwa na vibali.
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Warundi wadakwa na meno 25 ya tembo
Polisi mkoani Katavi wanawashikilia watu wawili raia wa Burundi kwa tuhuma za kuwakuta na meno ya tembo 25 yakiwa na uzito wa kilo 42 yenye thamani ya Sh148 milioni.
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
WAHAMIAJI HARAMU 21 WADAKWA MAKAMBAKO
IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako.
Naibu Kamishna wa Idara ya Uhamiaji, Rose Mhagama alisema wahamiaji hao walikamatwa Agosti 14, mwaka huu, saa 12:30 jioni wakati kikosi cha uhamiaji kikiwa katika doria.
Mhagama alisema kuwa kikosi hicho kilifanikiwa kubaini lori lililowabeba likitokea Makambako kuelekea Songea lenye namba za usajili T587 CSN likiwa...
11 years ago
Habarileo14 Dec
Wasicha wadakwa na Heroine za mil. 135/-
WASICHANA wawili raia wa Tanzania wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakihusishwa na pipi 187 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 135 walizokuwa wamezimeza.
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Waethiopia 47 wadakwa Msitu wa Mwidu Pwani
Raia 47 wa Ethiopia wamekamatwa katika Msitu wa Mwidu ulioko eneo la Chalinze wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OKh1S7vn6W0/U0a1xcRtOSI/AAAAAAAFZu4/cbt3iW5l8FU/s72-c/unnamed+(21).jpg)
majambazi watatu kati ya wanne wadakwa zanzibar
Na Mohammed Mhina,
wa Jeshi la Polisi- Zanzibar
Makachero wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kuzikamata silaha mbili na risasi 40 za Kivita zinazosadikiwa kutumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu likiwemo la mauaji ya Askari Polisi mmoja lililotokea Machi 2, mwaka huu huko kwenye Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Bay mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.
Katika tukio hilo Askari Polisi mmoja mwenye namba F.5607 Koplo Mohammed Mjombo(44) aliuawa huku mwenzake mwingine mwenye namba F.6198...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TgzoMpkNyxM/UzFLDeo33_I/AAAAAAAFWIk/laSsFZ6FgiU/s72-c/unnamed+(9).jpg)
watatu wadakwa na madaya ya kulevya, nyaya ya TTCL mkoani lindi
Na Abdulaziz Video, Lindi
Watu watatu wanashikiliwa na Polisi Mkoani Lindi kwa tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya aina ya heroin pamoja na Miundo mbinu ya Kampuni ya simu kinyume na Sheria.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Kamishna msaidizi Renatha Mzinga amesema leo kuwa kwa ushirikiano mkubwa waliopewa na wanajamii wamefanikiwa kumkamata Bw Salum Shaban Mapande(32)Mkazi wa Dar es sallam akiwa na madawa ya kulevya kete 42 kubwa na ndogo 104 zenye uzito wa Gram 58 na pesa taslim tsh...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LvIHg5Py2Hk/VjEQnvYexPI/AAAAAAAIDRc/OT5Kz3DycWQ/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA WADAKWA LINDI BAADA YA AJALI YA GARI LAO
Wahamiaji haramu wawili kutoka Ethiopia wafariki na wengine 60 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Lindi baada ya kubainika mara tu Gari ambalo walikuwa wakisafiria kugongwa na Basi la Jailan Jana Mjini Lindi.
Gari ambalo walikuwa wakisafiria wahamiaji haramu kutoka Ethiopia baada ya kugongwa na Basi la Jailan jana Mjini Lindi.
Wahamiaji haramu kutoka Ethiopia wakiwa chini ya Ulinzi kwenye makao makuu ya Uhamiaji mkoani Lindi.
Wahamiaji haramu kutoka Ethiopia wakiwa chini ya Ulinzi kwenye...
![](http://2.bp.blogspot.com/-LvIHg5Py2Hk/VjEQnvYexPI/AAAAAAAIDRc/OT5Kz3DycWQ/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b0NvQ6lMJYU/VjEQn_wjYXI/AAAAAAAIDRg/gbD3yTPWNEo/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0zHYbSIGCC8/VjEQoMug7HI/AAAAAAAIDRo/klyJKPm_PqQ/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UiOzwBPS2CE/XmU2-i9cRhI/AAAAAAALiBM/fU2VzMsfcRgIm590sdbuv4F-FBUnTzbSACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KINARA USAMBAZAJI ZANA HARAMU ZA UVUVI MBARONI MWANZA, POLISI WANNE WADAKWA KWA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UiOzwBPS2CE/XmU2-i9cRhI/AAAAAAALiBM/fU2VzMsfcRgIm590sdbuv4F-FBUnTzbSACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
KIGOGO na kinara wa uingizaji na usambazaji wa zana haramu za uvuvi katika Ziwa Victoria , Jeremiah Asama ( 48),mkazi wa Bwiru, Manispaa ya Ilemela ni miongoni mwa watu sita wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, huku mtuhumiwa wa saba akidaiwa kutoroka.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro alisema juzi wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kukamatwa kwa watu hao wakiwemo askari wanne wa jeshi hilo wanaodaiwa kukiuka maadili ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania