Waethiopia 42 wadakwa Dar
Polisi Mkoa wa Kinondoni Dar es Salaam, wanawashikilia raia 42 wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini na kuishi bila ya kuwa na vibali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Aug
Waethiopia 47 wadakwa Msitu wa Mwidu Pwani
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Matapeli 15 wa viwanja wadakwa
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Warundi wadakwa na meno 25 ya tembo
11 years ago
KwanzaJamii18 Aug
WAHAMIAJI HARAMU 21 WADAKWA MAKAMBAKO
11 years ago
Habarileo14 Dec
Wasicha wadakwa na Heroine za mil. 135/-
WASICHANA wawili raia wa Tanzania wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakihusishwa na pipi 187 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 135 walizokuwa wamezimeza.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Waethiopia 11 wakamatwa Pwani
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu 11 wanaodaiwa kuwa raia wa Ethiophia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sharia. Waethiophia hao walikamatwa juzi, saa tisa usiku, katika kijiji...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Waethiopia 76 watiwa mbaroni
IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro kwa kusadiana na Jeshi la Polisi imewanasa wahamiaji haramu 76 raia wa Ethiopia walioingia nchini kinyume cha sheria wakiwa katika harakati za kutaka kusafirishwa...
10 years ago
Habarileo16 Mar
Waethiopia 63 watiwa mbaroni
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia raia 63 wa Ethiopia na maiti mmoja ambao walikuwa wakisafirishwa na dereva Mtanzania kutoka Moshi kwenda Mbeya kwa kupitia njia za panya.
11 years ago
Michuzi.jpg)
majambazi watatu kati ya wanne wadakwa zanzibar