Saccos Maktaba yanunua hekta 135
Chama cha Akiba na Mikopo cha Maktaba Saccos, kimenunua ardhi yenye ukubwa wa hekta 135 kwa Sh138 milioni, kwa ajili ya kuwakopesha wanachama wake ili kujenga nyumba za makazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Hekta 14 kujengwa hospitali Tabora
HALMASHAURI ya Manispaa Tabora inatarajia kutenga jumla ya hekta 14 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa hiyo, Alfred Luanda...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Serikali yapewa hekta 360 za ardhi
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Serikali yanunua injini mpya 13
SERIKALI inatarajia kununua vichwa vipya 13 vya treni pamoja na mabehewa 22 ya abiria na mengine 204 ya mizigo. Kauli hiyo ilitolewa juzi bungeni na Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison...
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Google yanunua Skybox Imaging
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Magufuli afuta hati ya hekta 1,870 Kapunga
9 years ago
StarTV06 Jan
Mwekezaji arejesha hekta 1,870 kwa wananchi
Serikali imefanikiwa kuumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka kumi kati ya Wakazi wa Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya na Mwekezaji wa Shamba la Mpunga la Kapunga kampuni ya Export Trading ya jijini Dar es Salaam.
Mgogoro huo umemalizika mara baada ya kufanikiwa kumshawishi Mwekezaji huyo kurudisha hekta 1,870 za kijiji hicho zilizoingizwa kimakosa kwenye miliki ya kampuni hiyo mwaka 2005.
Mwaka 2005 Mwekezaji huyo aliomba kununua Hekta 5,500 za shamba la Mpunga la...
11 years ago
Tanzania Daima09 May
EU yaipatia Tanzania bil. 135/-
UMOJA wa Ulaya (EU) umeipatia Serikali ya Tanzania msaada wa sh bilioni 135 kwa ajili ya kusaidia kuinua sekta ya kilimo, usafirishaji na nishati. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
9 years ago
Habarileo05 Jan
Muhimbili yanunua CT-Scan ya kisasa zaidi
SSERIKALI imenunua mashine mpya ya CT-Scan kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Mashine hiyo yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 1.7 (takribani Sh bilioni 3.6) imeelezwa kwamba ni yenye uwezo wa hali ya juu.
9 years ago
Illicit Drugs In Eight Regions15 Sep
TFDA, Police Seize 135 Million/
AllAfrica.com
Police have filed 19 cases following an operation against illicit drugs and cosmetics carried out jointly with the Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) in eight regions of the country last month. TFDA Director General, Mr Hiiti Sillo, told a joint ...