Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saccos Maktaba yanunua hekta 135

Chama cha Akiba na Mikopo cha Maktaba Saccos, kimenunua ardhi yenye ukubwa wa hekta 135 kwa Sh138 milioni, kwa ajili ya kuwakopesha wanachama wake ili kujenga nyumba za makazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hekta 14 kujengwa hospitali Tabora

HALMASHAURI ya Manispaa Tabora inatarajia kutenga jumla ya hekta 14 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa hiyo, Alfred Luanda...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yapewa hekta 360 za ardhi

Mgogoro wa kugombea ardhi katika eneo la Mashewa Wilaya ya Korogwe umepatiwa ufumbuzi baada ya Kampuni ya Katani Limited kuipa Serikali hekta 360 ilizokuwa zikimiliki kupitia shamba lake la Magoma Kulasi Estate.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yanunua injini mpya 13

SERIKALI inatarajia kununua vichwa vipya 13 vya treni pamoja na mabehewa 22 ya abiria na mengine 204 ya mizigo. Kauli hiyo ilitolewa juzi bungeni na Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison...

 

11 years ago

BBCSwahili

Google yanunua Skybox Imaging

Google imetangaza mpango wake wa kununua mitambo ya Skybox Imaging kwa dola bilioni laki 5.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli afuta hati ya hekta 1,870 Kapunga

Rais John Magufuli amemaliza mgogoro wa ardhi baina ya wananchi wa Kapunga na mwekezaji wa Kapunga Rice Project Limited na sasa hekta 1,780 zitakuwa mali ya wananchi.

 

9 years ago

StarTV

Mwekezaji arejesha hekta 1,870 kwa wananchi

Serikali imefanikiwa kuumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka kumi kati ya Wakazi wa Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya na Mwekezaji wa Shamba la Mpunga la Kapunga kampuni ya Export Trading ya jijini Dar es Salaam.

Mgogoro huo umemalizika mara baada ya kufanikiwa kumshawishi Mwekezaji huyo kurudisha hekta 1,870 za kijiji hicho zilizoingizwa kimakosa kwenye miliki ya kampuni hiyo mwaka 2005.

Mwaka 2005 Mwekezaji huyo aliomba kununua Hekta 5,500 za shamba la Mpunga la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

EU yaipatia Tanzania bil. 135/-

UMOJA wa Ulaya (EU) umeipatia Serikali ya Tanzania msaada wa sh bilioni 135 kwa ajili ya kusaidia kuinua sekta ya kilimo, usafirishaji na nishati. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

9 years ago

Habarileo

Muhimbili yanunua CT-Scan ya kisasa zaidi

SSERIKALI imenunua mashine mpya ya CT-Scan kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Mashine hiyo yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 1.7 (takribani Sh bilioni 3.6) imeelezwa kwamba ni yenye uwezo wa hali ya juu.

 

9 years ago

Illicit Drugs In Eight Regions

TFDA, Police Seize 135 Million/


TFDA, Police Seize 135 Million/ - Illicit Drugs in Eight Regions
AllAfrica.com
Police have filed 19 cases following an operation against illicit drugs and cosmetics carried out jointly with the Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) in eight regions of the country last month. TFDA Director General, Mr Hiiti Sillo, told a joint ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani