Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hekta 14 kujengwa hospitali Tabora

HALMASHAURI ya Manispaa Tabora inatarajia kutenga jumla ya hekta 14 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa hiyo, Alfred Luanda...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Hospitali ya watoto ya N.Mandela yaanza kujengwa

Ujenzi wa Hospitali ya watoto iliopewa jina la Nelson Mandela Children Hospital umeanza mjini Johannesburg.

 

5 years ago

Michuzi

WAPONGEZA KUJENGWA HOSPITALI YA MPIMBE,MLELE MKOANI KATAVI

SERIKALI imepongezwa kwa mpango wake wa kujenga vituo vya Afya kila kata,ujenzi wa Hospitali za wilaya na Rufaa hatua inayotajwa imesaidia kuboresha huduma za Afya na kuwepo kwa mazingira ya utoaji huduma bora kwa watumishi wa sekta ya Afya katika mkoa wa Katavi.

Hayo yamesemwa kwa nyakati tofauti na baadhi ya wananchi waliokutwa wakipata matibabu katika Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoani Katavi.

Walisema,tangu Serikali ilipoanza ukarabati wa zahanati na ujenzi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yapewa hekta 360 za ardhi

Mgogoro wa kugombea ardhi katika eneo la Mashewa Wilaya ya Korogwe umepatiwa ufumbuzi baada ya Kampuni ya Katani Limited kuipa Serikali hekta 360 ilizokuwa zikimiliki kupitia shamba lake la Magoma Kulasi Estate.

 

11 years ago

Mwananchi

Saccos Maktaba yanunua hekta 135

Chama cha Akiba na Mikopo cha Maktaba Saccos, kimenunua ardhi yenye ukubwa wa hekta 135 kwa Sh138 milioni, kwa ajili ya kuwakopesha wanachama wake ili kujenga nyumba za makazi.

 

9 years ago

StarTV

Mwekezaji arejesha hekta 1,870 kwa wananchi

Serikali imefanikiwa kuumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka kumi kati ya Wakazi wa Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya na Mwekezaji wa Shamba la Mpunga la Kapunga kampuni ya Export Trading ya jijini Dar es Salaam.

Mgogoro huo umemalizika mara baada ya kufanikiwa kumshawishi Mwekezaji huyo kurudisha hekta 1,870 za kijiji hicho zilizoingizwa kimakosa kwenye miliki ya kampuni hiyo mwaka 2005.

Mwaka 2005 Mwekezaji huyo aliomba kununua Hekta 5,500 za shamba la Mpunga la...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli afuta hati ya hekta 1,870 Kapunga

Rais John Magufuli amemaliza mgogoro wa ardhi baina ya wananchi wa Kapunga na mwekezaji wa Kapunga Rice Project Limited na sasa hekta 1,780 zitakuwa mali ya wananchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mvua zaathiri hekta 2,000 za zao la Pamba Mkoani Singida

DSC05358

Mkuu wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Gishuli Charles (kulia) akitoa maelekezo juu ya mikakati ya kuboresha kilimo cha pamba mbele ya wajumbe wa kikao cha kazi cha kutathimini zao la pamba msimu huu kilichohudhuriwa na wajumbe kutoka bodi ya pamba na wadau wa zao hilo. Dc Charles alikuwa mwenyekiti wa kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa mjini hapa. Kushoto ni kaimu katibu tawala mkoa wa Singida,Mumba.

DSC05355

Baadhi ya wajumbe wa kikao cha kazi cha...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yatenga hekta 1,363 kwaaajili ya ujenzi wa viwanda Tanga

Na. Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maeneo ya EPZ pamoja na Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) imeweka matayarisho na utaratibu wa kuvutia wawekezaji eneo la Tanga.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janet Mbene alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Omari Nundu, Mbunge wa Tanga Mjini.
“tayari Mamlaka ya EPZ imetenga hekta 1,363 katika eneo la Neema mkoani Tanga kwaajili ya ujenzi wa viwanda na uthamini wa mali umekamilika” alisema Mhe....

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatenga hekta 1,363 kwa aajili ya ujenzi wa viwanda Tanga

370 Na. Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maeneo ya EPZ pamoja na Shirika la Maendeleo la TAifa (NDC) imeweka matayarisho na utaratibu wa kuvutia wawekezaji eneo la Tanga. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janet Mbene (pichani) alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Omari Nundu, Mbunge wa Tanga Mjini. “tayari Mamlaka ya EPZ imetenga hekta 1,363 katika eneo la Neema mkoani Tanga kwaajili ya ujenzi wa viwanda na uthamini wa mali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani