Hekta 14 kujengwa hospitali Tabora
HALMASHAURI ya Manispaa Tabora inatarajia kutenga jumla ya hekta 14 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa hiyo, Alfred Luanda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Hospitali ya watoto ya N.Mandela yaanza kujengwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N_7PXaiT4yw/XrRUg8-4LfI/AAAAAAALpbg/m4lnBegzCR0yu1nSuCoM0hMJtb3dZ4ALgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2019-07-15%2Bat%2B10.03.37.jpeg)
WAPONGEZA KUJENGWA HOSPITALI YA MPIMBE,MLELE MKOANI KATAVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-N_7PXaiT4yw/XrRUg8-4LfI/AAAAAAALpbg/m4lnBegzCR0yu1nSuCoM0hMJtb3dZ4ALgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2019-07-15%2Bat%2B10.03.37.jpeg)
Hayo yamesemwa kwa nyakati tofauti na baadhi ya wananchi waliokutwa wakipata matibabu katika Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoani Katavi.
Walisema,tangu Serikali ilipoanza ukarabati wa zahanati na ujenzi wa...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Serikali yapewa hekta 360 za ardhi
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Saccos Maktaba yanunua hekta 135
9 years ago
StarTV06 Jan
Mwekezaji arejesha hekta 1,870 kwa wananchi
Serikali imefanikiwa kuumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka kumi kati ya Wakazi wa Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya na Mwekezaji wa Shamba la Mpunga la Kapunga kampuni ya Export Trading ya jijini Dar es Salaam.
Mgogoro huo umemalizika mara baada ya kufanikiwa kumshawishi Mwekezaji huyo kurudisha hekta 1,870 za kijiji hicho zilizoingizwa kimakosa kwenye miliki ya kampuni hiyo mwaka 2005.
Mwaka 2005 Mwekezaji huyo aliomba kununua Hekta 5,500 za shamba la Mpunga la...
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Magufuli afuta hati ya hekta 1,870 Kapunga
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Mvua zaathiri hekta 2,000 za zao la Pamba Mkoani Singida
Mkuu wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Gishuli Charles (kulia) akitoa maelekezo juu ya mikakati ya kuboresha kilimo cha pamba mbele ya wajumbe wa kikao cha kazi cha kutathimini zao la pamba msimu huu kilichohudhuriwa na wajumbe kutoka bodi ya pamba na wadau wa zao hilo. Dc Charles alikuwa mwenyekiti wa kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa mjini hapa. Kushoto ni kaimu katibu tawala mkoa wa Singida,Mumba.
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha kazi cha...
10 years ago
MichuziSerikali yatenga hekta 1,363 kwaaajili ya ujenzi wa viwanda Tanga
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maeneo ya EPZ pamoja na Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) imeweka matayarisho na utaratibu wa kuvutia wawekezaji eneo la Tanga.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janet Mbene alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Omari Nundu, Mbunge wa Tanga Mjini.
“tayari Mamlaka ya EPZ imetenga hekta 1,363 katika eneo la Neema mkoani Tanga kwaajili ya ujenzi wa viwanda na uthamini wa mali umekamilika” alisema Mhe....
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Serikali yatenga hekta 1,363 kwa aajili ya ujenzi wa viwanda Tanga
![370](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/370.jpg)