Hospitali ya watoto ya N.Mandela yaanza kujengwa
Ujenzi wa Hospitali ya watoto iliopewa jina la Nelson Mandela Children Hospital umeanza mjini Johannesburg.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV30 Dec
Magati yaanza kujengwa mwambao wa Ziwa Viktoria.
Na Maliganya Charahani,
Mwanza.
Mamlaka ya bandari nchini TPA imeanza kuziimarisha bandari zake katika mwambao wa Ziwa Viktoria kwa kujenga magati imara kwa ajili ya kuegeshea meli ili kurahisisha usafiri kwa wakazi wa maeneo hayo na katika visiwa.
Uimara wa magati hayo utavutia pia kampuni ya huduma za meli kurejesha safari za meli kwenye maeneo hayo ambazo zilisitishwa kwa muda mrefu kutokana na miundombinu dhaifu.
Wakazi wa visiwani na mwambao wa Ziwa Viktoria wanatumia mitumbwi...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Hekta 14 kujengwa hospitali Tabora
HALMASHAURI ya Manispaa Tabora inatarajia kutenga jumla ya hekta 14 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa hiyo, Alfred Luanda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N_7PXaiT4yw/XrRUg8-4LfI/AAAAAAALpbg/m4lnBegzCR0yu1nSuCoM0hMJtb3dZ4ALgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2019-07-15%2Bat%2B10.03.37.jpeg)
WAPONGEZA KUJENGWA HOSPITALI YA MPIMBE,MLELE MKOANI KATAVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-N_7PXaiT4yw/XrRUg8-4LfI/AAAAAAALpbg/m4lnBegzCR0yu1nSuCoM0hMJtb3dZ4ALgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2019-07-15%2Bat%2B10.03.37.jpeg)
Hayo yamesemwa kwa nyakati tofauti na baadhi ya wananchi waliokutwa wakipata matibabu katika Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoani Katavi.
Walisema,tangu Serikali ilipoanza ukarabati wa zahanati na ujenzi wa...
9 years ago
StarTV13 Nov
Hospitali ya Taifa Muhimbili yaanza utekelezaji wa maagizo ya Maguful
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imeanza utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli alipofanya ziara ya kushtukiza katika hospital hiyo jumatatu wiki hii.
Rais Magufuli baada ya kutembelea na kujionea changamoto mbalimbali, alitoa wiki mbili kwa uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha mashine za IMR na CT- SCAN zinatengenezwa na kuanza kufanya kazi.
Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Hospital ya Taifa ya Muhimbili Aminiel...
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Hospitali ya Amana yaanza kutoa huduma kwa njia ya mtandao
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Wajitokeza na kudai watoto wa Mandela
10 years ago
MichuziTIMU YA WIZARA YA AFYA YAANZA MAZOEZI YA MAANDALIZI YA MASHINDANO YA SHIMIWI KATIKA UWANJA WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI DAR ES SALAAM
11 years ago
Habarileo04 Aug
Ajifungua watoto 4 hospitali 2, siku 2
MKAZI wa Kijiji cha Lupili wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza, Tecla Kazimili (24), amejifungua watoto wanne, watatu wa kike na mmoja wa kiume kwa njia ya kawaida katika hospitali mbili tofauti na siku mbili tofauti.