WAPONGEZA KUJENGWA HOSPITALI YA MPIMBE,MLELE MKOANI KATAVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-N_7PXaiT4yw/XrRUg8-4LfI/AAAAAAALpbg/m4lnBegzCR0yu1nSuCoM0hMJtb3dZ4ALgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2019-07-15%2Bat%2B10.03.37.jpeg)
SERIKALI imepongezwa kwa mpango wake wa kujenga vituo vya Afya kila kata,ujenzi wa Hospitali za wilaya na Rufaa hatua inayotajwa imesaidia kuboresha huduma za Afya na kuwepo kwa mazingira ya utoaji huduma bora kwa watumishi wa sekta ya Afya katika mkoa wa Katavi.
Hayo yamesemwa kwa nyakati tofauti na baadhi ya wananchi waliokutwa wakipata matibabu katika Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoani Katavi.
Walisema,tangu Serikali ilipoanza ukarabati wa zahanati na ujenzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-32kmGJ9oX54/U05tHkor3yI/AAAAAAAFbRo/clIZ83hj3K4/s72-c/18.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AZINDUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA 60 ZA NHC WILAYANI MLELE MKOANI KATAVI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-32kmGJ9oX54/U05tHkor3yI/AAAAAAAFbRo/clIZ83hj3K4/s1600/18.jpg)
======== ====== =====
KATIBU Mkuu wa CCM amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa kasi ya ujenzi miradi ya nyumba za makazi na biashara kwenye miji mbalimbali hasa makao makuu ya wilaya mpya.
Kinana aliyasema hayo katika mji wa Inyonga...
10 years ago
MichuziMAMA PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA UWT WILAYA YA MLELE,KATAVI
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza wakati alipofungua Mkutano wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kwenye shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Hekta 14 kujengwa hospitali Tabora
HALMASHAURI ya Manispaa Tabora inatarajia kutenga jumla ya hekta 14 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa hiyo, Alfred Luanda...
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Hospitali ya watoto ya N.Mandela yaanza kujengwa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s72-c/IMG_7153.jpg)
KINANA ASHTUSHWA NA MAKUSUDI YA WIZARA YA AFYA KUHUSIANA NA KITUO CHA AFYA CHA INYONGA,WILAYA YA MLELE-KATAVI
![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s1600/IMG_7153.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VHIeKghZ0TQ/U07VRQykrMI/AAAAAAACfAs/bKc1G7bG9Xk/s1600/IMG_7164.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OUDgbl-dbBk/VHSZ2f1L63I/AAAAAAAGzWI/gNyJzOUQZSw/s72-c/DSCF1795.jpg)
Kituo Kipya cha Michezo kujengwa Mkoani Pwani
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa Kamati ya mbio hizo, Innocent Melleck alisema,kamati ya uhurumarathon imeona umuhimu wa kuanzisha kituo hicho ambapo jumla ya shilingi...
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
BAKWATA Mkoani Singida wapongeza utendaji wa Rais Dk. Magufuli aliyoanza nayo!
Katibu BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake jana.Picha na Nathaniel Limu.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA]
Aina ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo rais Dk.John Pombe Magufuli,imeendelea kuwakuna Watanzania wengi kila kona ya nchi,wakiwemo viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini.
Katibu wa BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,amesema kutokana na utendaji ulioonyeshwa na Dk.Magufuli kwa muda mfupi,ana imani kubwa kwamba utendaji huo...
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Muuaji apigwa mawe hadi kufa mkoani Katavi
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AHAMISHIA MAFURIKO YA KAMPENI ZA CCM MKOANI KATAVI