Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muuaji apigwa mawe hadi kufa mkoani Katavi

>Kijana  ambaye jina lake halifahamiki, anayekadiriwa  kuwa  na umri wa miaka  kati ya 25  na 30 ameuawa  kwa kushambuliwa na silaha za jadi  na wananchi wenye hasira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Apigwa mawe hadi kufa

MKAZI wa kitongoji cha Mnele kijiji cha Chinongwe B katika kata ya Chinongwe wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Longino John (35) ameuawa kwa kupigwa mawe na hatimaye kuchomwa moto kwa madai ya kumjeruhi Mendrati Chinguile (63) ambaye ni mlemavu wa macho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke apigwa mawe hadi kufa Somali.

Mwanamke mmoja ameuawa kwa kupigwa mawe nchini Somalia na kundi la wanamgambo wa Al Shabaab.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ripota wa Spoti apigwa na mashabiki hadi kufa

Mwandishi wa habari za spoti amepigwa hadi kufa na mashabiki wa mchezaji aliyemkosoa katika ripoti yake huko Azerbaijan

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: ''Muuaji wa mwanangu mwenye pumu hastahili kufa gerezani''

Mwanamke mmoja nchini Argentina ameiandikia barua mamlaka ya nchi yake kumsaidia kumuachia huru muuaji wa mtoto wake kwa sababu anaumwa pumu hivyo gerezani ni sehemu hatari kwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apigwa mawe kwa ubakaji Somalia

Kundi la Al Shabaab limempiga mawe hadi kufa mwanamume mmoja nchini Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Serbia Vucic apigwa mawe

Waziri mkuu wa Serbia amepigwa mawe na kufukuzwa katika hafla ya ukumbusho wa miaka 20 ya mauaji ya halaiki Srebrenica Bosnia

 

11 years ago

Mwananchi

Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Sumbawanga, imemhukumu Malambi Lukwaja (47) Mkazi wa Kijiji cha Igalula, Tarafa ya Kabungu, Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia.

 

11 years ago

Habarileo

Adaiwa kujinyonga hadi kufa

MKAZI wa Morogoro Said Tenga (53), amekutwa amekufa kwa kujinyonga chumbani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ajinyonga hadi kufa Dar

WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema juzi saa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani