Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri mkuu wa Serbia Vucic apigwa mawe

Waziri mkuu wa Serbia amepigwa mawe na kufukuzwa katika hafla ya ukumbusho wa miaka 20 ya mauaji ya halaiki Srebrenica Bosnia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Senegal apigwa kalamu

Waziri mkuu nchini Senegal Aminata Toure ameachishwa kazi baada ya chama tawala kushindwa katika uchaguzi mkuu.

 

10 years ago

Habarileo

Apigwa mawe hadi kufa

MKAZI wa kitongoji cha Mnele kijiji cha Chinongwe B katika kata ya Chinongwe wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Longino John (35) ameuawa kwa kupigwa mawe na hatimaye kuchomwa moto kwa madai ya kumjeruhi Mendrati Chinguile (63) ambaye ni mlemavu wa macho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apigwa mawe kwa ubakaji Somalia

Kundi la Al Shabaab limempiga mawe hadi kufa mwanamume mmoja nchini Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke apigwa mawe hadi kufa Somali.

Mwanamke mmoja ameuawa kwa kupigwa mawe nchini Somalia na kundi la wanamgambo wa Al Shabaab.

 

9 years ago

Michuzi

OFISI YA WAZIRI MKUU YAKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA WAATHIRIKA WA MAAFA YA MVUA YA MAWE NA UPEPO MWAKATA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florens Turuka (mwenye miwani) akimsikiliza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala, Patrick Karangwa wakati alipokagua ujenzi wa nyumba za waathirika wa maafa Kijijini Mwakata, Kahama, tarehe 30 Agosti, 2015. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florens Turuka akimsikiliza mwenyekiti Kijiji cha Mwakata wilayani Kahama, Ezekieli Ramadhani akitafsiri kwa Kiswahili shukrani zizokuwa zikitolewa kwa kisukuma na Bi. Rugumba Msenga kwa serikali...

 

11 years ago

Mwananchi

Muuaji apigwa mawe hadi kufa mkoani Katavi

>Kijana  ambaye jina lake halifahamiki, anayekadiriwa  kuwa  na umri wa miaka  kati ya 25  na 30 ameuawa  kwa kushambuliwa na silaha za jadi  na wananchi wenye hasira.

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

10 years ago

GPL

KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW

Waziri Mkuu Mizengo Pinda. WAZIRI MKUU - Kamati imesema imejiridhisha pasipo mashaka kuwa, Waziri Mkuu, alikuwa ana taarifa zote kuhusiana na mchakato mzima wa kuchotwa fedha kutoka katika akaunti ya ESCROW. -Kamati, kwa kuzingatia kielelezo namba 22, inathibitisha bila shaka kwamba, Waziri Mkuu alikuwa analijua jambo hili vizuri na kwamba aliridhia muamala huu ufanyike. Ndiyo maana katika maelezo yake ya
Bungeni mara kadhaa...

 

11 years ago

Habarileo

Mwalimu Mkuu aamrisha mzazi kuzomewa, kupigwa mawe

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, inadaiwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Darajani iliyoko Tabata katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam kuamuru wanafunzi wake kumzomea mzazi aliyefika shuleni hapo kuhoji juu ya michango wanayodaiwa wanafunzi mara kwa mara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani