Apigwa mawe kwa ubakaji Somalia
Kundi la Al Shabaab limempiga mawe hadi kufa mwanamume mmoja nchini Somalia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Dec
Apigwa mawe hadi kufa
MKAZI wa kitongoji cha Mnele kijiji cha Chinongwe B katika kata ya Chinongwe wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Longino John (35) ameuawa kwa kupigwa mawe na hatimaye kuchomwa moto kwa madai ya kumjeruhi Mendrati Chinguile (63) ambaye ni mlemavu wa macho.
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Waziri mkuu wa Serbia Vucic apigwa mawe
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
Mwanamke apigwa mawe hadi kufa Somali.
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Muuaji apigwa mawe hadi kufa mkoani Katavi
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Ubakaji 'ni jambo la kawaida' Somalia
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Serikali yajitenga na kesi ya ubakaji Somalia
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Kizimbani kwa ubakaji
NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Dar es Saalam Juma Omary, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la ubakaji.
Omary (65), alisemewa shitaka hilo jana, mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka Faustine Sylvester mbele ya Hakimu Boniphace Lihamwike.
Sylvester alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Agosti 19, mwaka huu, muda usiofahamika, katika mtaa wa Mkunguni, Kinondoni.
Mshitakiwa alikana shitaka hilo na alirudishwa rumande, baada ya kushindwa kutimiza...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Mbasha kizimbani kwa ubakaji
11 years ago
Habarileo26 Feb
Miaka 30 jela kwa ubakaji
MKAZI wa kijiji cha Kigonsera kata ya Kigonsera wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Anton Ndimbo (33) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kutokana na kupatikana na kosa la ubakaji.