Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Apigwa mawe kwa ubakaji Somalia

Kundi la Al Shabaab limempiga mawe hadi kufa mwanamume mmoja nchini Somalia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Apigwa mawe hadi kufa

MKAZI wa kitongoji cha Mnele kijiji cha Chinongwe B katika kata ya Chinongwe wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Longino John (35) ameuawa kwa kupigwa mawe na hatimaye kuchomwa moto kwa madai ya kumjeruhi Mendrati Chinguile (63) ambaye ni mlemavu wa macho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Serbia Vucic apigwa mawe

Waziri mkuu wa Serbia amepigwa mawe na kufukuzwa katika hafla ya ukumbusho wa miaka 20 ya mauaji ya halaiki Srebrenica Bosnia

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke apigwa mawe hadi kufa Somali.

Mwanamke mmoja ameuawa kwa kupigwa mawe nchini Somalia na kundi la wanamgambo wa Al Shabaab.

 

11 years ago

Mwananchi

Muuaji apigwa mawe hadi kufa mkoani Katavi

>Kijana  ambaye jina lake halifahamiki, anayekadiriwa  kuwa  na umri wa miaka  kati ya 25  na 30 ameuawa  kwa kushambuliwa na silaha za jadi  na wananchi wenye hasira.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ubakaji 'ni jambo la kawaida' Somalia

Shirika la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Somalia kufanyia mageuzi sheria za kukabiliana na visa vingi vya ubakaji wa wanawake ambavyo vimekithiri nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yajitenga na kesi ya ubakaji Somalia

Serikali ya Somalia imesema haiwezi kuhusishwa na kesi ya mwananamke aliyehukumiwa kifungo cha nje baada ya kusema kwamba alibakwa

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kizimbani kwa ubakaji


NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Dar es Saalam Juma Omary, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la ubakaji.
Omary (65), alisemewa shitaka hilo jana, mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka Faustine Sylvester mbele ya Hakimu Boniphace Lihamwike.
Sylvester alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Agosti 19, mwaka huu, muda usiofahamika, katika mtaa wa Mkunguni, Kinondoni.
Mshitakiwa alikana shitaka hilo na alirudishwa rumande, baada ya kushindwa kutimiza...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbasha kizimbani kwa ubakaji

Mwimbaji wa nyimbo za Injili na mfanyabiashara, Emmanuel Mbasha amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa mashtaka ya ubakaji.

 

11 years ago

Habarileo

Miaka 30 jela kwa ubakaji

MKAZI wa kijiji cha Kigonsera kata ya Kigonsera wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Anton Ndimbo (33) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kutokana na kupatikana na kosa la ubakaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani