Serikali yajitenga na kesi ya ubakaji Somalia
Serikali ya Somalia imesema haiwezi kuhusishwa na kesi ya mwananamke aliyehukumiwa kifungo cha nje baada ya kusema kwamba alibakwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Ubakaji 'ni jambo la kawaida' Somalia
Shirika la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Somalia kufanyia mageuzi sheria za kukabiliana na visa vingi vya ubakaji wa wanawake ambavyo vimekithiri nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Apigwa mawe kwa ubakaji Somalia
Kundi la Al Shabaab limempiga mawe hadi kufa mwanamume mmoja nchini Somalia.
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Kesi ya ubakaji yamalizwa kinyemela
Familia mbili za Kitongoji cha Wamba, Kata ya Kandawale wilayani Kilwa zimekutana na kumaliza kinyemela kesi ya kubakwa mwanafunzi wa darasa la saba Shule ya Msingi Ngarambe na kumsababishia ujauzito.
10 years ago
Habarileo18 Oct
Kesi ya ubakaji ya Mbasha yapigwa kalenda
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imeendelea kupiga kalenda kesi ya ubakaji inayomkabili mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) hadi Novemba 14 mwaka huu kutokana na shahidi kufiwa na ndugu yake.
9 years ago
GPLKESI YA UBAKAJI YA MBASHA, MUNGU AMETENDA!
Brighton Masalu AHSANTE! Hatimaye kesi nzito na ngumu iliyokuwa ikimkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha ya kumbaka shemeji yake, imemalizika juzi kwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Ilala kumwachia huru na yeye mwenyewe kutamka kuwa Mungu ametenda! Emmanuel Mbasha akilia kwa furaha baada ya hukumu hiyo. KISA KIZIMA Emmanuel ambaye awali alikuwa na mgogoro wa kifamilia na mke wake, Flora...
11 years ago
GPLMUME WA FLORA MBASHA KIZIMBANI KWA KESI YA UBAKAJI
Emmanuel Mbasha (kulia) akiwa na mkewe Flora Mbasha. MUME wa mwimbaji Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka mawili ikiwemo ya ubakaji. Mshtakiwa huyo ambaye ni mfanyabiashara na mwimbaji alisomewa mashitaka yake mbele ya Hakimu Mkazi, Wilberforce Luago. Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga alidai kuwa mshtakiwa alitenda makosa hayo mawili...
9 years ago
MichuziMAHAKAMA YAMWACHIA HURU EMMANUEL MBASHA KESI YA UBAKAJI
Na Mwene Said waBlogu ya Jamii
Kulia ni msanii wa Nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha (32) aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji leo aliachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, baada ya ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma hizo. Mbasha ambaye pia ni mume wa msanii wa nyimbo za injili nchini, Flora Mbasha, alipiga magoti na kuangua kilio nje ya mahakama baada ya kusomwa hukumu hiyo iliyomwachia huru dhidi ya tuhuma za...
Kulia ni msanii wa Nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha (32) aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji leo aliachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, baada ya ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma hizo. Mbasha ambaye pia ni mume wa msanii wa nyimbo za injili nchini, Flora Mbasha, alipiga magoti na kuangua kilio nje ya mahakama baada ya kusomwa hukumu hiyo iliyomwachia huru dhidi ya tuhuma za...
9 years ago
VijimamboMSANII WA NYIMBO ZA INJILI, EMANUEL MBASHA ASHINDA KESI YA UBAKAJI
Msanii wa nyimbo za Injili, Emanuel Mbasha, Munde akiwa amepiga magoti huku akilia kwa furaha baada ya kushinda kesi ya ubakaji katika mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.(Picha na Francis Dande) Wakili wa Msanii wa nyimbo za Injili, Emanuel Mbasha, Munde Kalombola (kulia), akitaka kumuinua msanii huyo alipokaa chini na kulia baada ya kushinda kesi ya ubakaji iliyokuwa inamkabili kwenye mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Emmanuel Mbasha akitoka katika chumba...
Emmanuel Mbasha akitoka katika chumba...
10 years ago
VijimamboKAUMBUKA! MUME wa FLORA MBASHA Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji wa Shemeji Yake!
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta Mbasha na hatia baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji maarufu wa muziki wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania