Kesi ya ubakaji yamalizwa kinyemela
Familia mbili za Kitongoji cha Wamba, Kata ya Kandawale wilayani Kilwa zimekutana na kumaliza kinyemela kesi ya kubakwa mwanafunzi wa darasa la saba Shule ya Msingi Ngarambe na kumsababishia ujauzito.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Serikali yajitenga na kesi ya ubakaji Somalia
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JQbgrkxt9ufMtrRWf1SAWKgmNRSSXoGXflULNEy9JloTv4d2HY6Q3aYjkrK9m8tbVH-iZQXvZZyDrOs*ONvsGC0DuwZGS2qk/mbasha.jpg?width=650)
KESI YA UBAKAJI YA MBASHA, MUNGU AMETENDA!
10 years ago
Habarileo18 Oct
Kesi ya ubakaji ya Mbasha yapigwa kalenda
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imeendelea kupiga kalenda kesi ya ubakaji inayomkabili mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) hadi Novemba 14 mwaka huu kutokana na shahidi kufiwa na ndugu yake.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7VwSlJttUKM/VgAnKbXXfxI/AAAAAAAH6jE/DAvc0bd89YA/s72-c/mbasha%252Bpic.jpg)
MAHAKAMA YAMWACHIA HURU EMMANUEL MBASHA KESI YA UBAKAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7VwSlJttUKM/VgAnKbXXfxI/AAAAAAAH6jE/DAvc0bd89YA/s640/mbasha%252Bpic.jpg)
Kulia ni msanii wa Nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha (32) aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji leo aliachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, baada ya ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma hizo. Mbasha ambaye pia ni mume wa msanii wa nyimbo za injili nchini, Flora Mbasha, alipiga magoti na kuangua kilio nje ya mahakama baada ya kusomwa hukumu hiyo iliyomwachia huru dhidi ya tuhuma za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MUME WA FLORA MBASHA KIZIMBANI KWA KESI YA UBAKAJI
9 years ago
VijimamboMSANII WA NYIMBO ZA INJILI, EMANUEL MBASHA ASHINDA KESI YA UBAKAJI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s72-c/ema%2Bmbasha.jpg)
KAUMBUKA! MUME wa FLORA MBASHA Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji wa Shemeji Yake!
![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s640/ema%2Bmbasha.jpg)
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta Mbasha na hatia baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji maarufu wa muziki wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KdePnNdzi0U/U6BHSjOjmiI/AAAAAAAFrP0/_2leZsTzu6U/s72-c/1911114_507199476058710_1063991907_o.jpg)
NEWS ALERT: MUME WA FROLA MBASHA APANDISHWA KIZIMBANI kWA KESI YA UBAKAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KdePnNdzi0U/U6BHSjOjmiI/AAAAAAAFrP0/_2leZsTzu6U/s1600/1911114_507199476058710_1063991907_o.jpg)
10 years ago
Habarileo30 Nov
Vuta nikuvute ndani ya Bunge yamalizwa kistaarabu
BUNGE jana liliahirishwa kwa mara tatu mfululizo, kutokana na kutoafikiana juu ya mapendekezo yaliyotolewa dhidi ya wahusika wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa katika Benki Kuu Tanzania (BoT).