Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Sumbawanga, imemhukumu Malambi Lukwaja (47) Mkazi wa Kijiji cha Igalula, Tarafa ya Kabungu, Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM27 Nov
MTUHUMIWAWA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA TEKU AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA.
ASKARImmoja kati ya watatu waliokuwa wakituhumiwa kwa mauaji kwa aliyekuwa mwanafunziwa Chuo kikuu TEKU, amehukumiwa kunyongwa hadi kufa huku wenzie wakiachiwahuru.
Hukumuhiyo ilitolewa katika Mahakama kuu kanda ya Mbeya na Jaji Rose Temba baada yakuridhishwa na ushahidi wa pande zote mbili uliotolewa mahakamani hapo kwanyakati tofauti.
Mwendeshamashtaka wa Serikali, Archiles Mulisa akisaidiwa na Catherine Paul aliwatajawashtakiwa kuwa aliyehukumiwa ni Askari polisi F5842DC Maduhu na...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mwanajeshi mstaafu Singida ahukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa
Na Nathaniel Limu, Singida
MWANAJESHI mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) mkazi wa kijiji cha Ighuka wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Selemani Juma Karani (64),amehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Dodoma adhabu ya kunyongwa hadi kufa.
Karani amehukumiwa adhabu hiyo baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumpiga mshale wa sumu jirani yake Hadija Swalehe kichwani upande wa kulia, na kutokezea sikio la kushoto na kusababisha kifo chake.
Mwendesha mashitaka wakili wa serikali...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Mkazi wa Singida aliyeuwa baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida mahali mahakama kuu inaendelea na vikao vyake.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mkulima mkazi wa kijiji cha Damankia kata ya Dungunyi wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Silvery Adriano (56), amehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Dodoma inayoendelea na vikao vyake mjini hapa,adhabu ya kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumuuwa baba yake mzazi kwa makusudi.
Imedaiwa mahakamani hapo kuwa mshitakiwa Silvery...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mahakama yawahukumu watu Sita kunyongwa hadi kufa
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Wanne wahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua albino
10 years ago
Vijimambo
WALIOMUUA ALBINO MWAKAJILA WA MBEYA LEO WAMEHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA

Na Daniel MbegaMAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya leo hii imewahukumu kunyongwa mpaka kufa watu wanne kati ya watano waliomuua Henry Mwakajila (17) ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino).
Waliohukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni Asangalwisye Kayuni maarufu kama Katiti au Mwakatoga na Gerard Korosso...
5 years ago
Michuzi
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Mwana wa Gaddafi ahukumiwa kunyongwa
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Kanal ahukumiwa kunyongwa,Congo Dr