MTUHUMIWAWA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA TEKU AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA.
ASKARImmoja kati ya watatu waliokuwa wakituhumiwa kwa mauaji kwa aliyekuwa mwanafunziwa Chuo kikuu TEKU, amehukumiwa kunyongwa hadi kufa huku wenzie wakiachiwahuru.
Hukumuhiyo ilitolewa katika Mahakama kuu kanda ya Mbeya na Jaji Rose Temba baada yakuridhishwa na ushahidi wa pande zote mbili uliotolewa mahakamani hapo kwanyakati tofauti.
Mwendeshamashtaka wa Serikali, Archiles Mulisa akisaidiwa na Catherine Paul aliwatajawashtakiwa kuwa aliyehukumiwa ni Askari polisi F5842DC Maduhu na...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mwanajeshi mstaafu Singida ahukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa
Na Nathaniel Limu, Singida
MWANAJESHI mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) mkazi wa kijiji cha Ighuka wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Selemani Juma Karani (64),amehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Dodoma adhabu ya kunyongwa hadi kufa.
Karani amehukumiwa adhabu hiyo baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumpiga mshale wa sumu jirani yake Hadija Swalehe kichwani upande wa kulia, na kutokezea sikio la kushoto na kusababisha kifo chake.
Mwendesha mashitaka wakili wa serikali...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Mkazi wa Singida aliyeuwa baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida mahali mahakama kuu inaendelea na vikao vyake.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mkulima mkazi wa kijiji cha Damankia kata ya Dungunyi wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Silvery Adriano (56), amehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Dodoma inayoendelea na vikao vyake mjini hapa,adhabu ya kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumuuwa baba yake mzazi kwa makusudi.
Imedaiwa mahakamani hapo kuwa mshitakiwa Silvery...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mahakama yawahukumu watu Sita kunyongwa hadi kufa
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Wanne wahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua albino
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rhOgG7zQW5w/VZLpOW7nT-I/AAAAAAAAID8/deLoDfiHqRw/s72-c/Hakimu%2BMwakalinga.jpg)
WALIOMUUA ALBINO MWAKAJILA WA MBEYA LEO WAMEHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rhOgG7zQW5w/VZLpOW7nT-I/AAAAAAAAID8/deLoDfiHqRw/s640/Hakimu%2BMwakalinga.jpg)
Na Daniel MbegaMAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya leo hii imewahukumu kunyongwa mpaka kufa watu wanne kati ya watano waliomuua Henry Mwakajila (17) ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino).
Waliohukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni Asangalwisye Kayuni maarufu kama Katiti au Mwakatoga na Gerard Korosso...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g0j9bEdvA98/XqRE7dHRs7I/AAAAAAALoLo/-3sC46dNhR8GoqshCOVd4c7H5pY6exXGACLcBGAsYHQ/s72-c/magu%252Bpic.jpg)
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Kanal ahukumiwa kunyongwa,Congo Dr
10 years ago
StarTV18 May
Mohammed Morsi ahukumiwa kunyongwa.
Mahakama moja nchini Misri imetoa amri ya kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi.
Mahakama hiyo ilimpata na hatia aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi kufuatia kuvunjwa kwa magereza mwaka wa 2011.
Kauli hii ni msumari katika kidonda cha Morsi ambaye alikuwa tayari anatumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kuamrisha kukamatwa kwa waandamanaji waliopinga utawala wake.
Morsi aling’olewa mamlakani na jeshi mwezi Julai mwaka wa 2013 kufuatia kipindi kirefu cha maandamano dhidi...