Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTUHUMIWAWA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA TEKU AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA.

ASKARImmoja kati ya watatu waliokuwa wakituhumiwa kwa mauaji kwa aliyekuwa mwanafunziwa Chuo kikuu TEKU, amehukumiwa kunyongwa hadi kufa huku wenzie wakiachiwahuru.

Hukumuhiyo ilitolewa katika Mahakama kuu kanda ya Mbeya na Jaji Rose Temba baada yakuridhishwa na ushahidi wa pande zote mbili uliotolewa mahakamani hapo kwanyakati tofauti.


Mwendeshamashtaka wa Serikali, Archiles Mulisa akisaidiwa na Catherine Paul aliwatajawashtakiwa kuwa aliyehukumiwa ni Askari polisi F5842DC Maduhu na...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Sumbawanga, imemhukumu Malambi Lukwaja (47) Mkazi wa Kijiji cha Igalula, Tarafa ya Kabungu, Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwanajeshi mstaafu Singida ahukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa

wooden gavel and books on wooden table,on brown background

Na Nathaniel Limu, Singida

MWANAJESHI mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) mkazi wa kijiji cha Ighuka wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Selemani Juma Karani (64),amehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Dodoma adhabu ya kunyongwa hadi kufa.

Karani amehukumiwa adhabu hiyo baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumpiga mshale wa sumu jirani yake Hadija Swalehe kichwani  upande wa kulia, na kutokezea sikio la kushoto na kusababisha kifo chake.

Mwendesha mashitaka wakili wa serikali...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkazi wa Singida aliyeuwa baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

DSC03650-6

Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida mahali mahakama kuu inaendelea na vikao vyake.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Mkulima mkazi wa kijiji cha Damankia kata ya Dungunyi wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Silvery Adriano (56), amehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Dodoma inayoendelea na vikao vyake mjini hapa,adhabu ya kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumuuwa baba yake mzazi kwa makusudi.

Imedaiwa mahakamani hapo kuwa mshitakiwa Silvery...

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yawahukumu watu Sita kunyongwa hadi kufa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewahukumu kunyongwa hadi kufa  washtakiwa sita  katika kesi ya mauaji ya askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wa mkoani Morogoro na mfanyakazi wa Benki ya NMB.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanne wahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua albino

>Washtakiwa wanne kati ya watano wa kesi ya kumuua mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino) Henry Mwakajila mwaka 2008 wilayani Rungwe, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa mjini hapa jana.

 

10 years ago

Vijimambo

WALIOMUUA ALBINO MWAKAJILA WA MBEYA LEO WAMEHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA

Hakimu Mwakalinga siku alipohukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa mauaji ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe. Leo amehukumiwa tena kunyongwa mpaka kufa katika mauaji ya mlemavu wa ngozi Henry Mwakajila.

Na Daniel Mbega

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya leo hii imewahukumu kunyongwa mpaka kufa watu wanne kati ya watano waliomuua Henry Mwakajila (17) ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino).


Waliohukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni Asangalwisye Kayuni maarufu kama Katiti au Mwakatoga na Gerard Korosso...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanal ahukumiwa kunyongwa,Congo Dr

Mahakama huko Jamuhuri ya Demokrasi ya Congo imemhukumu kifo Kanal Birocho Nzanzu baada ya kubainika na makosa ya mauajia.

 

10 years ago

StarTV

Mohammed Morsi ahukumiwa kunyongwa.

Mahakama moja nchini Misri imetoa amri ya kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi.

Mahakama hiyo ilimpata na hatia aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi kufuatia kuvunjwa kwa magereza mwaka wa 2011.

Kauli hii ni msumari katika kidonda cha Morsi ambaye alikuwa tayari anatumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kuamrisha kukamatwa kwa waandamanaji waliopinga utawala wake.

Morsi aling’olewa mamlakani na jeshi mwezi Julai mwaka wa 2013 kufuatia kipindi kirefu cha maandamano dhidi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani