Mohammed Morsi ahukumiwa kunyongwa.
Mahakama moja nchini Misri imetoa amri ya kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi.
Mahakama hiyo ilimpata na hatia aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi kufuatia kuvunjwa kwa magereza mwaka wa 2011.
Kauli hii ni msumari katika kidonda cha Morsi ambaye alikuwa tayari anatumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kuamrisha kukamatwa kwa waandamanaji waliopinga utawala wake.
Morsi aling’olewa mamlakani na jeshi mwezi Julai mwaka wa 2013 kufuatia kipindi kirefu cha maandamano dhidi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 May
Misri:aliyekuwa rais Morsi kunyongwa
10 years ago
BBCSwahili17 May
Misri:Marekani yapinga Morsi kunyongwa
10 years ago
GPL
MOHAMED MORSI AHUKUMIWA KIFO
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Morsi ahukumiwa miaka 20 gerezani
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Mwana wa Gaddafi ahukumiwa kunyongwa
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Kanal ahukumiwa kunyongwa,Congo Dr
10 years ago
BBC
Mohammed Morsi verdict: 'The tables have turned'
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Misri: Muhammad Morsi ahukumiwa Kifo