MOHAMED MORSI AHUKUMIWA KIFO

Aliyekuwa rais wa Misri na kiongozi wa Kundi la Kiislam Muslim Brothehood. Wafuasi wa Morsi. Maandamano ya kupinga utawala wa Morsi nchini Misri.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Misri: Muhammad Morsi ahukumiwa Kifo
10 years ago
StarTV18 May
Mohammed Morsi ahukumiwa kunyongwa.
Mahakama moja nchini Misri imetoa amri ya kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi.
Mahakama hiyo ilimpata na hatia aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi kufuatia kuvunjwa kwa magereza mwaka wa 2011.
Kauli hii ni msumari katika kidonda cha Morsi ambaye alikuwa tayari anatumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kuamrisha kukamatwa kwa waandamanaji waliopinga utawala wake.
Morsi aling’olewa mamlakani na jeshi mwezi Julai mwaka wa 2013 kufuatia kipindi kirefu cha maandamano dhidi...
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Morsi ahukumiwa miaka 20 gerezani
10 years ago
Habarileo21 Apr
BREAKING NEWS: Rais Morsi ahukumiwa miaka 20 jela
Makahama nchini Mirsi imemhukumu aliyekuwa rais wa zamani Mohammed Mosri kifungo cha miaka 20 gerezani kutokana na kuuawa kwa waamdamanaji wakati akiwa madarakani.
10 years ago
GPL
RAIS WA ZAMANI WA MISRI MOHAMED MORSI KWENDA JELA MIAKA 20
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Hukumu ya kifo yathibitishwa kwa Morsi
11 years ago
GPL
KIONGOZI WA BROTHERHOOD AHUKUMIWA KIFO
10 years ago
BBCSwahili16 May
Mshambuliaji wa Boston ahukumiwa kifo