Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshambuliaji wa Boston ahukumiwa kifo

Meya wa mji wa Boston amesema kuwa hukumu ya kifo aliyopewa mshambuliaji itawapa nafuu wale wote walioathiriwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KIONGOZI WA BROTHERHOOD AHUKUMIWA KIFO

Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa. Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa
Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahukumu kifo watu 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie. Mawakili wa watuhumiwa wanasema kuwa wateja wao walikabiliwa na makosa mengi yakiwemo, kushambulia kituo cha polisi mjini Minya mwaka 2013...

 

10 years ago

GPL

MOHAMED MORSI AHUKUMIWA KIFO

Aliyekuwa rais wa Misri na kiongozi wa Kundi la Kiislam Muslim Brothehood. Wafuasi wa Morsi. Maandamano ya kupinga utawala wa Morsi nchini Misri.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Mhubiri wa Kiislamu ahukumiwa kifo Nigeria

Mahakama moja ya Kiislamu nchini Nigeria imemhukumu kifo mhubiri anayetuhumiwa kukufuru kwa kumtukana Nabii Muhammad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tajiri ahukumiwa kifo nchini China

Tajiri mmoja wa kupindukia China Liu Han, amehukumiwa kifo kwa kujipatia mali yake kwa mauaji ya aina ya kimafia

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri: Muhammad Morsi ahukumiwa Kifo

Mahakama moja nchini Misri imemhukumu kunyongwa rais wa zamani Muhammad Morsi, kwa kosa la kupanga njama ya kuvunja gereza

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ahukumiwa kifo kwa kuua mkwewe

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza, imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Mathias Tangawizi (46), mkazi wa Kijiji cha Ibondo, wilayani Geita, baada ya kupatikana na kosa la kumuua mama mkwe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ahukumiwa kifo Kenya kwa kuavya mimba

Muuguzi mmoja amehukumiwa kifo na mahakama moja nchini Kenya kwa kuavya mimba

 

10 years ago

Habarileo

Polisi aliyeua mwanafunzi chuo kikuu ahukumiwa kifo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya imemhukumu kunyongwa hadi kufa polisi wa upelelezi, Maduhu, F 5842, aliyekuwa akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU), Daniel Mwakyusa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani