Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ahukumiwa kifo Kenya kwa kuavya mimba

Muuguzi mmoja amehukumiwa kifo na mahakama moja nchini Kenya kwa kuavya mimba

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tembe ya kuavya mimba ni halali Canada

Wizara ya afya ya Canada imehalalisha dawa ya kuavya mimba inayofahamika kama RU-486.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke Msomali kuavya mimba Australia

Mwanamke raia wa Somalia anayedaiwa kupata mimba baada ya kubakwa katika kisiwa cha Nauru amewasili Australia kutolewa mimba hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyewalizimisha 150 kuavya mimba akamatwa

Polisi wa Uhispania wamemkamata muuguzi anayetuhumiwa kuwalazimisha wapiganaji wanawake katika kundi la waasi la Colombia, FARC, kuavya mimba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ahukumiwa kifo kwa kuua mkwewe

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza, imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Mathias Tangawizi (46), mkazi wa Kijiji cha Ibondo, wilayani Geita, baada ya kupatikana na kosa la kumuua mama mkwe...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE AHUKUMIWA KIFO, KUCHAPWA MIJELEDI 100 KWA KUBADILI DINI SUDAN

MAHAKAMA nchini Sudan imemhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanamume mkristo. Daktari Mariam Yahya Ibrahim Ishag, ambaye babake ni muislamu alishitakiwa kwa kosa la kuasi dini pamoja na kufanya zinaa kwa kuolewa na mwanamume mkristo, kitu ambacho dini ya kiisilamu imeharamisha kwa wanawake. Mariam mwenye umri wa miaka 27 ambaye ni mjamzito pia atapata adhabu ya mijeledi 100 kwa kosa la zinaa....

 

10 years ago

GPL

MOHAMED MORSI AHUKUMIWA KIFO

Aliyekuwa rais wa Misri na kiongozi wa Kundi la Kiislam Muslim Brothehood. Wafuasi wa Morsi. Maandamano ya kupinga utawala wa Morsi nchini Misri.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshambuliaji wa Boston ahukumiwa kifo

Meya wa mji wa Boston amesema kuwa hukumu ya kifo aliyopewa mshambuliaji itawapa nafuu wale wote walioathiriwa

 

11 years ago

GPL

KIONGOZI WA BROTHERHOOD AHUKUMIWA KIFO

Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa. Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa
Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahukumu kifo watu 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie. Mawakili wa watuhumiwa wanasema kuwa wateja wao walikabiliwa na makosa mengi yakiwemo, kushambulia kituo cha polisi mjini Minya mwaka 2013...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tajiri ahukumiwa kifo nchini China

Tajiri mmoja wa kupindukia China Liu Han, amehukumiwa kifo kwa kujipatia mali yake kwa mauaji ya aina ya kimafia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani