Ahukumiwa kifo Kenya kwa kuavya mimba
Muuguzi mmoja amehukumiwa kifo na mahakama moja nchini Kenya kwa kuavya mimba
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Tembe ya kuavya mimba ni halali Canada
Wizara ya afya ya Canada imehalalisha dawa ya kuavya mimba inayofahamika kama RU-486.
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Mwanamke Msomali kuavya mimba Australia
Mwanamke raia wa Somalia anayedaiwa kupata mimba baada ya kubakwa katika kisiwa cha Nauru amewasili Australia kutolewa mimba hiyo.
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
Aliyewalizimisha 150 kuavya mimba akamatwa
Polisi wa Uhispania wamemkamata muuguzi anayetuhumiwa kuwalazimisha wapiganaji wanawake katika kundi la waasi la Colombia, FARC, kuavya mimba.
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Ahukumiwa kifo kwa kuua mkwewe
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza, imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Mathias Tangawizi (46), mkazi wa Kijiji cha Ibondo, wilayani Geita, baada ya kupatikana na kosa la kumuua mama mkwe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk6vS5fJZaHhW9o2TIaqhZCScN7bKObOnj2c34jrMTfuqrQq-a9*G8KS9u3VnbjNGGqrSe8RUZ2N3ZeWDQYr-ec/sudanpoliticalmap17976123.jpg?width=650)
MWANAMKE AHUKUMIWA KIFO, KUCHAPWA MIJELEDI 100 KWA KUBADILI DINI SUDAN
MAHAKAMA nchini Sudan imemhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanamume mkristo. Daktari Mariam Yahya Ibrahim Ishag, ambaye babake ni muislamu alishitakiwa kwa kosa la kuasi dini pamoja na kufanya zinaa kwa kuolewa na mwanamume mkristo, kitu ambacho dini ya kiisilamu imeharamisha kwa wanawake. Mariam mwenye umri wa miaka 27 ambaye ni mjamzito pia atapata adhabu ya mijeledi 100 kwa kosa la zinaa....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuK7RokoS8YxJCo4*j6JrmMiOvDg04zDgu7vxB1Q-J9oITpvj3plgSIsomMMw382Wy71bf2Ss01MAeOMnsZ375-2/M_Id_399021_Mohamed_Morsi.jpg?width=650)
MOHAMED MORSI AHUKUMIWA KIFO
Aliyekuwa rais wa Misri na kiongozi wa Kundi la Kiislam Muslim Brothehood. Wafuasi wa Morsi. Maandamano ya kupinga utawala wa Morsi nchini Misri.…
10 years ago
BBCSwahili16 May
Mshambuliaji wa Boston ahukumiwa kifo
Meya wa mji wa Boston amesema kuwa hukumu ya kifo aliyopewa mshambuliaji itawapa nafuu wale wote walioathiriwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KIONGOZI WA BROTHERHOOD AHUKUMIWA KIFO
Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa. Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa
Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahukumu kifo watu 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie. Mawakili wa watuhumiwa wanasema kuwa wateja wao walikabiliwa na makosa mengi yakiwemo, kushambulia kituo cha polisi mjini Minya mwaka 2013...
11 years ago
BBCSwahili24 May
Tajiri ahukumiwa kifo nchini China
Tajiri mmoja wa kupindukia China Liu Han, amehukumiwa kifo kwa kujipatia mali yake kwa mauaji ya aina ya kimafia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania