Ahukumiwa kifo kwa kuua mkwewe
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza, imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Mathias Tangawizi (46), mkazi wa Kijiji cha Ibondo, wilayani Geita, baada ya kupatikana na kosa la kumuua mama mkwe...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Ahukumiwa kifo Kenya kwa kuavya mimba
Muuguzi mmoja amehukumiwa kifo na mahakama moja nchini Kenya kwa kuavya mimba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk6vS5fJZaHhW9o2TIaqhZCScN7bKObOnj2c34jrMTfuqrQq-a9*G8KS9u3VnbjNGGqrSe8RUZ2N3ZeWDQYr-ec/sudanpoliticalmap17976123.jpg?width=650)
MWANAMKE AHUKUMIWA KIFO, KUCHAPWA MIJELEDI 100 KWA KUBADILI DINI SUDAN
MAHAKAMA nchini Sudan imemhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanamume mkristo. Daktari Mariam Yahya Ibrahim Ishag, ambaye babake ni muislamu alishitakiwa kwa kosa la kuasi dini pamoja na kufanya zinaa kwa kuolewa na mwanamume mkristo, kitu ambacho dini ya kiisilamu imeharamisha kwa wanawake. Mariam mwenye umri wa miaka 27 ambaye ni mjamzito pia atapata adhabu ya mijeledi 100 kwa kosa la zinaa....
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
6 wahukumiwa kifo kwa kuua wato 2 Bangladesh
Wanaume 6 wamehukumiwa kifo kwa kupatikana na hatia ya kuua watoto 2 katika visa vilivyoibua hasira kali nchini Bangladesh
10 years ago
BBCSwahili16 May
Mshambuliaji wa Boston ahukumiwa kifo
Meya wa mji wa Boston amesema kuwa hukumu ya kifo aliyopewa mshambuliaji itawapa nafuu wale wote walioathiriwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuK7RokoS8YxJCo4*j6JrmMiOvDg04zDgu7vxB1Q-J9oITpvj3plgSIsomMMw382Wy71bf2Ss01MAeOMnsZ375-2/M_Id_399021_Mohamed_Morsi.jpg?width=650)
MOHAMED MORSI AHUKUMIWA KIFO
Aliyekuwa rais wa Misri na kiongozi wa Kundi la Kiislam Muslim Brothehood. Wafuasi wa Morsi. Maandamano ya kupinga utawala wa Morsi nchini Misri.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KIONGOZI WA BROTHERHOOD AHUKUMIWA KIFO
Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa. Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa
Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahukumu kifo watu 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie. Mawakili wa watuhumiwa wanasema kuwa wateja wao walikabiliwa na makosa mengi yakiwemo, kushambulia kituo cha polisi mjini Minya mwaka 2013...
11 years ago
BBCSwahili24 May
Tajiri ahukumiwa kifo nchini China
Tajiri mmoja wa kupindukia China Liu Han, amehukumiwa kifo kwa kujipatia mali yake kwa mauaji ya aina ya kimafia
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mhubiri wa Kiislamu ahukumiwa kifo Nigeria
Mahakama moja ya Kiislamu nchini Nigeria imemhukumu kifo mhubiri anayetuhumiwa kukufuru kwa kumtukana Nabii Muhammad.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania