Tajiri ahukumiwa kifo nchini China
Tajiri mmoja wa kupindukia China Liu Han, amehukumiwa kifo kwa kujipatia mali yake kwa mauaji ya aina ya kimafia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuK7RokoS8YxJCo4*j6JrmMiOvDg04zDgu7vxB1Q-J9oITpvj3plgSIsomMMw382Wy71bf2Ss01MAeOMnsZ375-2/M_Id_399021_Mohamed_Morsi.jpg?width=650)
MOHAMED MORSI AHUKUMIWA KIFO
Aliyekuwa rais wa Misri na kiongozi wa Kundi la Kiislam Muslim Brothehood. Wafuasi wa Morsi. Maandamano ya kupinga utawala wa Morsi nchini Misri.…
10 years ago
BBCSwahili16 May
Mshambuliaji wa Boston ahukumiwa kifo
Meya wa mji wa Boston amesema kuwa hukumu ya kifo aliyopewa mshambuliaji itawapa nafuu wale wote walioathiriwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KIONGOZI WA BROTHERHOOD AHUKUMIWA KIFO
Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa. Baadhi ya jamaa wa watuhumiwa waliohukumiwa kifo walizirai baada ya kupokea taarifa
Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahukumu kifo watu 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie. Mawakili wa watuhumiwa wanasema kuwa wateja wao walikabiliwa na makosa mengi yakiwemo, kushambulia kituo cha polisi mjini Minya mwaka 2013...
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Misri: Muhammad Morsi ahukumiwa Kifo
Mahakama moja nchini Misri imemhukumu kunyongwa rais wa zamani Muhammad Morsi, kwa kosa la kupanga njama ya kuvunja gereza
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mhubiri wa Kiislamu ahukumiwa kifo Nigeria
Mahakama moja ya Kiislamu nchini Nigeria imemhukumu kifo mhubiri anayetuhumiwa kukufuru kwa kumtukana Nabii Muhammad.
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Ahukumiwa kifo kwa kuua mkwewe
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza, imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Mathias Tangawizi (46), mkazi wa Kijiji cha Ibondo, wilayani Geita, baada ya kupatikana na kosa la kumuua mama mkwe...
10 years ago
Vijimambo22 Nov
KIFO CHA TAJIRI MAARUFU BUKOBA, DAKTARI AELEZA MAZITO
Stori: Hami da Hassan na Haruni Sanchawa wa GPL
KIFO cha tajiri maarufu mjini Bukoba, Leonard Mtensa (50) ambacho kimetingisha kanda nzima ya ziwa, kilichotokea dakika chache baada ya marehemu kudaiwa kufanya mapenzi ndani ya gari lake, sasa mambo hadharani juu ya kila kitu kilichotokea, Risasi Jumamosi linakupa mkanda mzima.
Tukio hilo lililozua gumzo mjini Bukoba, lilitokea usiku Novemba 18, mwaka huu ambapo imeelezwa kuwa marehemu ambaye ni baba wa familia, kabla ya kupatwa na umauti,...
KIFO cha tajiri maarufu mjini Bukoba, Leonard Mtensa (50) ambacho kimetingisha kanda nzima ya ziwa, kilichotokea dakika chache baada ya marehemu kudaiwa kufanya mapenzi ndani ya gari lake, sasa mambo hadharani juu ya kila kitu kilichotokea, Risasi Jumamosi linakupa mkanda mzima.
Tukio hilo lililozua gumzo mjini Bukoba, lilitokea usiku Novemba 18, mwaka huu ambapo imeelezwa kuwa marehemu ambaye ni baba wa familia, kabla ya kupatwa na umauti,...
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Ahukumiwa kifo Kenya kwa kuavya mimba
Muuguzi mmoja amehukumiwa kifo na mahakama moja nchini Kenya kwa kuavya mimba
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania