Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tembe ya kuavya mimba ni halali Canada

Wizara ya afya ya Canada imehalalisha dawa ya kuavya mimba inayofahamika kama RU-486.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Aliyewalizimisha 150 kuavya mimba akamatwa

Polisi wa Uhispania wamemkamata muuguzi anayetuhumiwa kuwalazimisha wapiganaji wanawake katika kundi la waasi la Colombia, FARC, kuavya mimba.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke Msomali kuavya mimba Australia

Mwanamke raia wa Somalia anayedaiwa kupata mimba baada ya kubakwa katika kisiwa cha Nauru amewasili Australia kutolewa mimba hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ahukumiwa kifo Kenya kwa kuavya mimba

Muuguzi mmoja amehukumiwa kifo na mahakama moja nchini Kenya kwa kuavya mimba

 

10 years ago

BBCSwahili

Waingereza kutumia tembe za Vitamin D

Kila mtu anafaa kutumia dawa za Vitamin D ili kukabiliana na ukosefu wa jua nchini Uingereza ,wataalam wa serikali wamependekeza.

 

10 years ago

Vijimambo

NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO






Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bangi ni halali Washington DC

Mji mkuu wa Marekani Washington DC umehalalisha utumizi wa Bangi

 

9 years ago

Habarileo

NEC: Wapigakura halali ni mil. 22.7

SIKU 12 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani nchini, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebainisha idadi kamili ya Watanzania wanaostahili kupiga kura siku ya Oktoba, 25, mwaka huu), kuwa ni milioni 22.7 na si milioni 23.7 ya awali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Assad: Mashambulizi ya Uingereza si halali

Rais wa Syria Bashar al-Assad amelaani hatua ya ndege za Uingereza kushambulia maeneo nchini mwake akisema sio halali.

 

11 years ago

Habarileo

‘Muungano Tanganyika na Z’bar ni halali’

MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar Othman Masoud Othman amesema licha ya kwamba hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haikuridhiwa kwa upande wa Zanzibar katika mwaka 1964, Muungano huo ni halali usiokuwa na shaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani