Hukumu ya kifo yathibitishwa kwa Morsi
Mahakama ya Misri imethibitisha adhabu ya kifo kwa rais wa zamani wa nchi hiyo Mohammed Morsi na wenzake kadha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5eKzxAIK8WeniuvgdJ8MuxaMEbv-xNJ82ZdCrW35An2GLwRc1UUCh7l4enKK9BYpHL2oXdN6h7lm2vOADcEKEh/MohammedMorsi1.jpg?width=650)
HUKUMU YA MORSI LEO
Mohammed Morsi. MAHAKAMA nchini Misri inatarajia kutoa hukumu kwenye kesi kadhaa zinazomkabili rais wa zamani, Mohammed Morsi ambaye aliondolewa madarakani na jeshi mwaka 2013. Mosri anakabiliwa na kesi pamoja na viongozi wengine wa Kundi la Muslim Brotherhood kwa kuwachochea wafuasi kumuua mwandishi wa habari na waandamanaji wa upinzani wakati wa makabiliano nje ya ikulu ya rais mwaka 2012. Mawakili wanaomtetea Mosri wanasema...
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
UN yalaani Misri kwa hukumu ya kifo
Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha Misri kuwahukumu kifo zaidi ya watu miatano ikisema kuwa ni ukiukwaji wa sheria za kimataifa za haki za binadamu.
10 years ago
Vijimambo22 Apr
PICHA HIZI NDIZO ZILIZOTUMIA KUMMALIZA KIJANA KWA HUKUMU YA KIFO.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/22/20/article-3051049-27E048C300000578-292_964x400.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuK7RokoS8YxJCo4*j6JrmMiOvDg04zDgu7vxB1Q-J9oITpvj3plgSIsomMMw382Wy71bf2Ss01MAeOMnsZ375-2/M_Id_399021_Mohamed_Morsi.jpg?width=650)
MOHAMED MORSI AHUKUMIWA KIFO
Aliyekuwa rais wa Misri na kiongozi wa Kundi la Kiislam Muslim Brothehood. Wafuasi wa Morsi. Maandamano ya kupinga utawala wa Morsi nchini Misri.…
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Misri: Muhammad Morsi ahukumiwa Kifo
Mahakama moja nchini Misri imemhukumu kunyongwa rais wa zamani Muhammad Morsi, kwa kosa la kupanga njama ya kuvunja gereza
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Hukumu ya kifo ya yatekelezwa Misri
Misri imetekeleza hukumu ya kifo ya mwanzo, iliyotolewa baada ya kupinduliwa kwa serikali ya rais muislamu, Mohammed Morsi,
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Abatilishiwa hukumu ya kifo Marekani
Mwanamume mmoja aliyeishi jela kwa zaidi ya miaka 25 akisubiri hukumu ya kifo nchini Marekani, ameachiliwa huru baada ya mahakama kubatilisha uamuzi huo
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mjadala wa hukumu ya kifo wazuka Rwanda
Mjadala umezuka nchini Rwanda ambapo baadhi ya wananchi wanataka kurejeshwa kwa hukumu ya kifo nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Hukumu ya kifo ya watu 11 itadumu Misri
Mahakama nchini Misri umeamuru kuwa hukumu wa kifo dhidi ya watu 11 waliopatikana na hatia ya kuzua ghasia itadumu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania