Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN yalaani Misri kwa hukumu ya kifo

Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha Misri kuwahukumu kifo zaidi ya watu miatano ikisema kuwa ni ukiukwaji wa sheria za kimataifa za haki za binadamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya kifo ya yatekelezwa Misri

Misri imetekeleza hukumu ya kifo ya mwanzo, iliyotolewa baada ya kupinduliwa kwa serikali ya rais muislamu, Mohammed Morsi,

 

10 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya kifo ya watu 11 itadumu Misri

Mahakama nchini Misri umeamuru kuwa hukumu wa kifo dhidi ya watu 11 waliopatikana na hatia ya kuzua ghasia itadumu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya kifo yathibitishwa kwa Morsi

Mahakama ya Misri imethibitisha adhabu ya kifo kwa rais wa zamani wa nchi hiyo Mohammed Morsi na wenzake kadha

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA HIZI NDIZO ZILIZOTUMIA KUMMALIZA KIJANA KWA HUKUMU YA KIFO.

Mshukiwa na mlipoko wa bomu siku ya Boston Marathon ahukumiwa kifo picha hizi zilitumika kama ushaidi siku ya hukumu yake na hakimu wa kesi hiyo alisema kwa alama hizi za vidole anastahili hukumu ya kifo kwani hii ni kama kuwaonyesha Wamarekani kuwa hajari wala kujutia kosa lake.A still from a surveillance footage shows the moment Dzhokhar Tsarnaev flipped off a camera in his jail cell three months after his arrest. The image was first showed to jurors in his death penalty trial on Tuesday,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia Misri wapinga hukumu ya Mubarak

Polisi nchini Misri wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wanaopinga hatua ya mahakama nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Abatilishiwa hukumu ya kifo Marekani

Mwanamume mmoja aliyeishi jela kwa zaidi ya miaka 25 akisubiri hukumu ya kifo nchini Marekani, ameachiliwa huru baada ya mahakama kubatilisha uamuzi huo

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyeua watu 12 anusurika hukumu ya kifo

Mtu aliyewaua watu 12 katika onyesho la filamu,Marekani,amenusurika hukumu ya kifo na badala yake atatumikia kifungo cha maisha jela

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hukumu ya kifo ikifutwa mauaji yataongezeka’

Wakati wanaharakati duniani wakitaka hukumu ya kifo ifutwe, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Amir Manento amesema muda wa Tanzania kufuta hukumu hiyo haujafika na kwamba endapo uamuzi huo utatekelezwa mauaji yataongezeka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia:Nafasi 8 za kutekeleza hukumu ya kifo

Saudi Arabia imetangaza nafasi 8 za watu ambao kazi yao itakuwa ni kutekeleza hukumu ya kifo!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani