Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUKUMU YA MORSI LEO

Mohammed Morsi. MAHAKAMA nchini Misri inatarajia kutoa hukumu kwenye kesi kadhaa zinazomkabili rais wa zamani, Mohammed Morsi ambaye aliondolewa madarakani na jeshi mwaka 2013. Mosri anakabiliwa na kesi pamoja na viongozi wengine wa Kundi la Muslim Brotherhood kwa kuwachochea wafuasi kumuua mwandishi wa habari na waandamanaji wa upinzani wakati wa makabiliano nje ya ikulu ya rais mwaka 2012. Mawakili wanaomtetea Mosri wanasema...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya kifo yathibitishwa kwa Morsi

Mahakama ya Misri imethibitisha adhabu ya kifo kwa rais wa zamani wa nchi hiyo Mohammed Morsi na wenzake kadha

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Mohammed Morsi Kusikizwa hii leo

Aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Mosri atafika katika mahakama moja mjini Cairo ili kusikiza inayomkabili

 

11 years ago

Habarileo

Hukumu kesi ya Liyumba leo

HUKUMU ya kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba inatolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Hukumu ya Mramba na wenzake leo

Waziri wa zamani wa Fedha, Basil MrambaHUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayowakabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Hukumu ya Okwi leo

>Hukumu ya mshambuliaji Emmanuel Okwi itatolewa leo na Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya TFF inayoongozwa na mwanasheria Richard Sinamtwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hukumu kesi ya Kibanda leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, leo inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya kuandika na kuchapisha makala ya uchochezi inayomkabili aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya Alexei Navalny kutolewa leo

Wakuu wa mahakama Nchini Urusi wanatoa hukumu katika kesi dhidi ya kiongozi mmoja wa upinzani

 

11 years ago

Mwananchi

Hukumu bomoabomoa ya Tabata Dampo leo

>Mahakama ya Wilaya Ilala leo itatoa hukumu ya kesi ya matumizi mabaya ya ofisi inayowakabili vigogo sita wa Manispaa ya Ilala, akiwemo aliyekuwa mkurugenzi wa manispaa hiyo, John Lubuva na aliyekuwa naibu meya,  Mohamed Yakub.

 

9 years ago

BBCSwahili

ICTR kutoa hukumu ya mwisho leo

Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) iliyokuwa ikishughulikia kesi za mauaji yaliyotokea miaka 20 iliyopita leo itatoa hukumu yake ya mwisho kabla ya kufungwa kabisa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani