Hukumu ya Alexei Navalny kutolewa leo
Wakuu wa mahakama Nchini Urusi wanatoa hukumu katika kesi dhidi ya kiongozi mmoja wa upinzani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Kesi ya Mawazo kutolewa hukumu leo
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
JAJI wa Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, Lameck Mlacha, anatarajia kutoa hukumu juu ya mvutano wa kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Geita marehemu Alphonce Mawazo jijini Mwanza.
Jaji Mlacha anatarajia kutoa hukumu hiyo leo saa saba mchana baada ya pande zote mbili kueleza hoja zao.
Mawakili wa Serikali, Seth Mkemwa na Emilly Kilia ambao wanamtetea Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mwanza, Charles Mkumbo aliyezuia...
10 years ago
StarTV30 Mar
Hukumu ya Badweli kutolewa Aprili 29.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam itatoa hukumu ya Kesi ya rushwa inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Bahi mkoani Dodoma Omary Badweli Aprili 29, mwaka huu.
Badwel anakabiliwa na shitaka la rushwa ambalo anadaiwa kutenda kati ya Mei 30 na Juni 2, 2012, katika maeneo tofauti mkoani Dar es Salaam ambapo alishawishi apewe rushwa ya Shilingi Milioni 1 kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Sipora Liana.
Kesi hiyo ambayo imedumu...
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Hukumu ya Muslim Brotherhood kutolewa
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Hukumu ya watia nia CCM kutolewa hapa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_YB5pMRPrYw/XlPvcixJaYI/AAAAAAALfJg/D4TnGM42BSc4piAuVuyVKbqNTaUFqcXAwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B15.08.30.jpeg)
HUKUMU YA KESI YA UCHOCHEZI INAYOWAKABILI VIONGOZI CHADEMA KUTOLEWA MACHI 10, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-_YB5pMRPrYw/XlPvcixJaYI/AAAAAAALfJg/D4TnGM42BSc4piAuVuyVKbqNTaUFqcXAwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B15.08.30.jpeg)
MAHAKAMA Ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Machi 10, mwaka huu kutoa hukumu ya kesi ya uchochezi dhudi ya viongozi nane wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho,Dk.Vicent Mashinji ambaye hivi karibuni amehamia CCM.
Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amesema sheria inaelekeza pande zote kufanya majumuisho ili kuisaidia mahakama kutoa uamuzi kwa kuangalia masuala ya kisheria yaliyoibuliwa wakati wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IcjrnvMkafc/VIPzHt-f4TI/AAAAAAAG1uM/pta5AHyEusc/s72-c/foot-prints.jpg)
kenya yapiga hatua katika kutambua watu wenye jinsia mbili baada ya hukumu ya kihistoria kutolewa
![](http://2.bp.blogspot.com/-IcjrnvMkafc/VIPzHt-f4TI/AAAAAAAG1uM/pta5AHyEusc/s1600/foot-prints.jpg)
Wakati alipozaliwa mtoto huyo, wafanyakazi wa hospitali waliweka alama ya kuuliza penye kisanduku cha jinsia kwenye fomu ya uzazi mwaka 2009 baada ya kushindwa kuamua kama ni wa kike ama wa kiume.Wakili wa mtoto huyo ameeleza kufurahishwa na hukumu hiyo akisema ni hatua moja kwenda mbele katika kutambua watu wenye jinsia mbili wanaojulikana...
9 years ago
Mtanzania23 Oct
Uamuzi mita 200 kutolewa leo
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
JOPO la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo watatoa uamuzi wa mvutano mkali kuhusu kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.
Mwenyekiti wa jopo hilo, Sekieti Kihiyo, alisema hayo jana akiwa pamoja na majaji wenzake, Aloycius Mujuluzi na Lugano Mwandambo.
“Jana (juzi) tuliwaambia leo tutatoa maelekezo muhimu, kesho(leo) saa nne tutatoa uamuzi,”alisema Jaji
Kihiyo.
Majaji hao walifikia hatua ya kutoa uamuzi huo baada ya kusikiliza hoja...
9 years ago
Habarileo23 Oct
Hatma ya kesi ya meta 200 kutolewa leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo itatoa uamuzi kuhusu shauri la kikatiba lililofunguliwa na Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Amy Kibatala likihoji uhalali wa wapigakura kukaa mita 200 kutoka kwenye vituo vya kupigia kura.