Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUKUMU YA KESI YA UCHOCHEZI INAYOWAKABILI VIONGOZI CHADEMA KUTOLEWA MACHI 10, 2020

Na Karama Kenyunko, globu ya jamii
MAHAKAMA Ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Machi 10, mwaka huu kutoa hukumu ya kesi ya uchochezi dhudi ya viongozi nane wa Chadema akiwemo  Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho,Dk.Vicent Mashinji ambaye hivi karibuni  amehamia CCM.
 Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amesema sheria inaelekeza pande zote kufanya majumuisho ili kuisaidia mahakama kutoa uamuzi kwa kuangalia masuala ya kisheria yaliyoibuliwa wakati wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Mashinji akutana na viongozi Chadema,Hukumu yao sasa Machi 10

IKIWA ni siku Chache tangu kukihama Chama cha Chadema na kuhamia CCM leo Februari 24,2020 aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk.Vincent Mashinji amekutana na viongozi wa chama hicho katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi yao ya uchochezi inayowakabili.

Mashinji amefika mahakamani hapo kisha akaanza kusalimiana na viongozi mbalimbali wa CHADEMA ambao wapo katika kesi moja ambapo miongoni mwao ni Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Kesi ya Mawazo kutolewa hukumu leo

Alphonce  MawazoNA BENJAMIN MASESE, MWANZA

JAJI wa Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, Lameck Mlacha, anatarajia kutoa hukumu juu ya mvutano wa kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Geita marehemu Alphonce Mawazo jijini Mwanza.

Jaji Mlacha anatarajia kutoa hukumu hiyo leo saa saba mchana baada ya pande zote mbili kueleza hoja zao.

Mawakili wa Serikali, Seth Mkemwa na Emilly Kilia ambao wanamtetea Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mwanza, Charles Mkumbo aliyezuia...

 

5 years ago

BBCSwahili

Zitto Kabwe kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kutokutoa matamshi ya uchochezi

Kiuongozi wa chama cha upinzani ACT-Wazalendo nchini Tanzania ametiwa hatiani na mahakama jijini Dar es Salaam na kuhukumiwa kifungo cha nje cha mwaka mmoja kwa sharti la kutokutoa kauli za kichochezi.

 

10 years ago

StarTV

Hukumu ya Badweli kutolewa Aprili 29.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es Salaam.

 

Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam itatoa hukumu ya Kesi ya rushwa inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Bahi mkoani Dodoma Omary Badweli Aprili 29, mwaka huu.

 

Badwel anakabiliwa na shitaka la rushwa ambalo anadaiwa kutenda kati ya Mei 30 na Juni 2, 2012, katika maeneo tofauti mkoani Dar es Salaam ambapo alishawishi apewe rushwa ya Shilingi Milioni 1 kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Sipora Liana.

 

Kesi hiyo ambayo imedumu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya Muslim Brotherhood kutolewa

Mahakama huko Minya Misri inatarajiwa kutoa hukumu dhidi washukiwa wa vuguvugu la Muslim brotherhood

 

10 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya Alexei Navalny kutolewa leo

Wakuu wa mahakama Nchini Urusi wanatoa hukumu katika kesi dhidi ya kiongozi mmoja wa upinzani

 

10 years ago

Mwananchi

Hukumu ya watia nia CCM kutolewa hapa

Macho na mawazo ya watanzania wengi yapo mjini Dodoma kufuatilia yanayojiri kwenye mchakato wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kumpata mgombea wake wa kiti cha urais, atakayekiwakilisha katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Habarileo

Ponda aomba kesi ya uchochezi isimamishwe

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shehe Issa Ponda ameomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili mkoani Morogoro.

 

11 years ago

Mwananchi

Makunga, Kibanda washinda kesi ya uchochezi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru Meneja Uendelezaji Biashara wa Kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Theophil Makunga, Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda na Samson Mwigamba katika kesi ya makala ya uchochezi iliyokuwa ikiwakabili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani