Mashinji akutana na viongozi Chadema,Hukumu yao sasa Machi 10
![](https://1.bp.blogspot.com/-71JVuSaqKeY/XlOxEMZ6XDI/AAAAAAALfBs/LTWWmZkrtQcZp0hfghOvY5Ut0UqRTQmjwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
IKIWA ni siku Chache tangu kukihama Chama cha Chadema na kuhamia CCM leo Februari 24,2020 aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk.Vincent Mashinji amekutana na viongozi wa chama hicho katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi yao ya uchochezi inayowakabili.
Mashinji amefika mahakamani hapo kisha akaanza kusalimiana na viongozi mbalimbali wa CHADEMA ambao wapo katika kesi moja ambapo miongoni mwao ni Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_YB5pMRPrYw/XlPvcixJaYI/AAAAAAALfJg/D4TnGM42BSc4piAuVuyVKbqNTaUFqcXAwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B15.08.30.jpeg)
HUKUMU YA KESI YA UCHOCHEZI INAYOWAKABILI VIONGOZI CHADEMA KUTOLEWA MACHI 10, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-_YB5pMRPrYw/XlPvcixJaYI/AAAAAAALfJg/D4TnGM42BSc4piAuVuyVKbqNTaUFqcXAwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B15.08.30.jpeg)
MAHAKAMA Ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Machi 10, mwaka huu kutoa hukumu ya kesi ya uchochezi dhudi ya viongozi nane wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho,Dk.Vicent Mashinji ambaye hivi karibuni amehamia CCM.
Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amesema sheria inaelekeza pande zote kufanya majumuisho ili kuisaidia mahakama kutoa uamuzi kwa kuangalia masuala ya kisheria yaliyoibuliwa wakati wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r8FmsELRVAg/Xkvf2Q89LzI/AAAAAAALd4o/yg56ItPY5W4AM7_lC8Ot9pfY2ygPdVuJwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
ALIYEKUWA KATIBU MKUU CHADEMA DK.MASHINJI ATUA CCM ...ATOA SABABU
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
AMETUA CCM!Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk.Vicent Mashinji kutangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi(CCM).
DK.Mashinji aliyejiondoa Chadema Desemba mwaka 1919 amefikia uamuzi wa kujiunga CCM leo Februari 18, mwaka 2020 ambapo akitangaza uamuzi huo akiwa Ofisi ndogo za CCM zilizopo Lumumba jijini Dar es Salaam akiwa amepokelewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-BY7BTiS0fCk/VIBdEHuz0kI/AAAAAAAG1Q8/xm-yY5Qu6i0/s72-c/unnamed%2B%284%29.jpg)
MAKAMU WA RAIS WA BUNGE LA ULAYA AKUTANA NA VIONGOZI WA CHADEMA NCHINI UBELGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BY7BTiS0fCk/VIBdEHuz0kI/AAAAAAAG1Q8/xm-yY5Qu6i0/s1600/unnamed%2B%284%29.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9HhL6psO-ww/VIBdCuckJqI/AAAAAAAG1Qk/z2IpHpVZg3M/s1600/unnamed%2B%281%29.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EjYkHz0b4aY/Vc3K1fpeIZI/AAAAAAAAJoY/X45MgjUSHbY/s72-c/attachment.php.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ClKtrwHc1Ko/XkupvFM6DCI/AAAAAAALd3Y/_aPqt1pQYxMUY1zAPLt136eesggHIE6zACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: ALIYEKUWA KATIBU MKUU TAIFA WA CHADEMA DKT MASHINJI AHAMIA CCM.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ClKtrwHc1Ko/XkupvFM6DCI/AAAAAAALd3Y/_aPqt1pQYxMUY1zAPLt136eesggHIE6zACLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
Habarileo18 Sep
Hukumu ya Mbasha sasa J’tatu
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imepanga Jumatatu ijayo kutoa hukumu dhidi ya mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Emmanuel Mbasha (32) anayekabiliwa na mashitaka mawili ya kubaka.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3Be3JqvjfVk/Uw9JpxGLyqI/AAAAAAAFQBc/nevzwFUbuZ0/s72-c/New+Picture+(1).bmp)
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Pambano la Cheka sasa kufanyika Machi 1
11 years ago
Michuzi22 Apr
Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Vy0mW3LU_If27f9ioP3gkooDjE85MAK-h_rjJo3XO4dv7MGW6PMZWOyGm5h2r6CRHlDpxXkZobrU4UACc9o-uLXcVXwgb7CUH6AghePN8gz4VCzrKUezTc2AiVI7wZvNGBvTgQvp9y0Etzlvz3YtDxn-v-qPOq1-FgnFYwr8bOvsNBxILNfj2OzWYnFFDtMXW0xE5dADsSTTyXoUVpIw-v0MZVFrA1FgH-jBvGICBmUGub6tpgslPgzgTclELWH-r9S_k4tWD2-rMdXZ_rn177jjch1J0pKVFMBX-1ypb7UkYJLxUubcqsVkO6GQk9yl1x5nkFEArP82rB9MzJtViOCJe74OQSmaYQA=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-fF_ne3h5XYY%2FU1YZijKrE4I%2FAAAAAAAANUk%2Flqgc3rxm7cA%2Fs1600%2FIMG-20140421-WA025.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/oESitJrcddp3Zg5vvFIK33vREkY_KlOpt7S5Ba0mj5z1iJQKjDvdOjYfCWgk6YLaX10lTs8rsGELhSKujTyAyatbhif2451kczq_p8lufubAlG42j4_jvnC5HA0GUy9hgGPXjSFUczqHYvolzLSNtP1ZaEEPu4fK7_0QefK6lcp0OPtihQjynUEXDis8sKrc0i-ASX2TtkfYhVtqeA0K_seYwZxuaUWdudIVUDO8dIhgdxX-XMjRXDNa5vjPgAhaUTeq3lDRJWmmKZvN89EqTPZx-oy4F18P0Cg8T_ntI2foKmdCwJ9QLh0tJ0BAdT0z6aW5UlOmHVQcBAOBUZgNcolIPL8ihoL0TQI=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-JmTTR7WUZE0%2FU1YaF0FhGLI%2FAAAAAAAANUs%2Fo_O5Rye9jHE%2Fs1600%2FIMG-20140421-WA027.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Xqe7Cv5Wn8xasPT640dJlhqVnsw0TpUiAdrED0pKIBffuP1hKbuJnfHqeXyGvLB4PAz9XN4U5Dhv_sgFZAv9N-wXE0HL-IM87imfqtOqjSuU6r3mjolnzm7kprzn3n1gsrFFeixlDXdu2imjAEBEVJnZouIDzznLmLE1EhKjUdd6RPM53kvxo3YL-KD9CZFBERyo-2pPav-CyoV6-67oQUd4FCPW5YDaqBY1871lGwZ5_I8f-EVTI5mIL4qYFdQQB_aeAQg0z9c6NX165rx21jLCwVmCnhrpPZ6jSN6zMiioTt_ju_zjHoFzkQ0Xp9xbLuJID2UyWaPoz7W4ggL1F1UQlP0F0fofLoU=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-Nre6WFW95XA%2FU1YadOCl4WI%2FAAAAAAAANU0%2FzVZSH7A8Y78%2Fs1600%2FIMG-20140421-WA029.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)