Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HII HATARI SASA....UKAWA WAUNDA JESHI LAO WANAJIITA FFU WA CHADEMA WAONE MAVAZI YAO YALIVYO


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Mashinji akutana na viongozi Chadema,Hukumu yao sasa Machi 10

IKIWA ni siku Chache tangu kukihama Chama cha Chadema na kuhamia CCM leo Februari 24,2020 aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk.Vincent Mashinji amekutana na viongozi wa chama hicho katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi yao ya uchochezi inayowakabili.

Mashinji amefika mahakamani hapo kisha akaanza kusalimiana na viongozi mbalimbali wa CHADEMA ambao wapo katika kesi moja ambapo miongoni mwao ni Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa...

 

9 years ago

Vijimambo

‘Toroka Uje Ya Ukawa’ Kusomba Vigogo Hawa Wa CCM..? HII BALAA SASA


Taarifa tulizozipata zinaeleza kuwa Kambi ya Ukawa imepanga kuzindua rasmi kampeni yake walioyoipa jina la ‘Toroka Uje’, ikiwa na nia ya kuhamasisha watu wengi kukitoroka Chama Cha Mapinduzi na kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo chetu, baadhi ya majina ya vigogo wa CCM wanaodhaniwa kuwa huenda wakajiunga na kambi ya upinzani kupitia kampeni hiyo ni pamoja na mwana siasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru.Wengine wanaotajwa kuwa...

 

11 years ago

Mtanzania

Chadema waunda safu mpya Kigoma

Chama cha Demokrasia na Maendeleo

Chama cha Demokrasia na Maendeleo

Na Editha Karlo, Kigoma

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kigoma, kimefanya uchaguzi na kuchagua viongozi wa chama hicho wa mkoa na wilaya.

Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni na Usimamizi katika chama hicho, Benson Kigaila ambaye alikuwa msimamizi wa uchaguzi huo, alisema ulifanyika kuziba mapengo yaliyoachwa wazi baada ya viongozi kujiuzulu.

Kigaila aliwataja viongozi waliochaguliwa ambao watashika madaraka hayo hadi uchaguzi utakapofanyika...

 

10 years ago

Michuzi

Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni walipoliweka jiji la Stuttgart chini yao



Na Paparazi wa Globu ya jamii Ughaibuni,
Bendi Maarufu ya Muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni usiku wa Jumamosi ya 14 Machi 2015 walifanikiwa kufanya mavitu yao jukwaani na kuliweka jiji la Stuttgart,chini ya himaya na muziki wao,katika onyesho la Africa Unite Party.
pamoja na ulinzi ulioandaliwa lakini kikosi cha Ngoma Africa band kilikuwa "Fit on Fire",sheria za ughaibuni zinawaruhusu kutinga na viwalo ..kila nchi inautaratibu na sheria zakeKamanda Ras Makunja...

 

10 years ago

Michuzi

NMB Yalishukuru Jeshi la Polisi kwa kuifanya benki hiyo kuwa chaguo lao la kwanza

Benki ya NMB imewafagilia jeshi la polisi kwa kuikubali benki yao kuwa benki chaguo la kwanza na kusema kitendo hicho kinadhihirisha kuridhishwa kwao na huduma bora za kibenki zinazotolewa na NMB kupitia Makundi mbalimbali katika jamii ya Tanzania.  Hayo yalisemwa jana mjini Dodoma na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB – Tom Borghols alipokuwa akitoa Maneno ya utangulizi.Aliyasema hayo kabla ya Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi wa benki ya NMB - Abdulmajid Nsekela kuwasilisha  maada...

 

10 years ago

Habarileo

Madereva waaswa, ulevi ni hatari kwa maisha yao

Askari Mkunde Said akimpima kiwango cha pombe dereva wa basi la mikoani, Emanuel Mkulangya kwa kutumia kifaa maalumu ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya Usalama Barabarani ya kudhibiti ajali, mkoani Mbeya juzi. (Picha kwa hisani ya Vodacom).MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria, kutotumia vinywaji vyenye ulevi na kuacha tabia ya kuongea na simu kwa kutuma au kupokea ujumbe wa maneno wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.

 

11 years ago

Michuzi

CULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.

Filamu Mpya ya Cultural Wars Sasa Yapatikana! Wahi Kujipatia DVD! 

Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPO SASA NA CHRISTMAS HII MFUKO UMEBAKIWA NA HII KICHELE

Maladhi yote ugua lakini kucha usiombee 

 

10 years ago

Michuzi

Hii ni hatari

Dereva wa boda boda (haonekani pichani) akiwa amembeba abiria wake na mizigo yake kama ionekanavyo pichani,hali inayopelekea kuhatarisha usalama wa maisha yao.Picha hii ilinaswa na Camera ya Globu ya Jamii katika barabara ya Msata-Bagamoyo mapema jana jioni. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani