HII HATARI SASA....UKAWA WAUNDA JESHI LAO WANAJIITA FFU WA CHADEMA WAONE MAVAZI YAO YALIVYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-EjYkHz0b4aY/Vc3K1fpeIZI/AAAAAAAAJoY/X45MgjUSHbY/s72-c/attachment.php.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-71JVuSaqKeY/XlOxEMZ6XDI/AAAAAAALfBs/LTWWmZkrtQcZp0hfghOvY5Ut0UqRTQmjwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Mashinji akutana na viongozi Chadema,Hukumu yao sasa Machi 10
![](https://1.bp.blogspot.com/-71JVuSaqKeY/XlOxEMZ6XDI/AAAAAAALfBs/LTWWmZkrtQcZp0hfghOvY5Ut0UqRTQmjwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Mashinji amefika mahakamani hapo kisha akaanza kusalimiana na viongozi mbalimbali wa CHADEMA ambao wapo katika kesi moja ambapo miongoni mwao ni Mbunge wa Bunda, Ester Bulaya, Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa...
9 years ago
Vijimambo‘Toroka Uje Ya Ukawa’ Kusomba Vigogo Hawa Wa CCM..? HII BALAA SASA
Taarifa tulizozipata zinaeleza kuwa Kambi ya Ukawa imepanga kuzindua rasmi kampeni yake walioyoipa jina la ‘Toroka Uje’, ikiwa na nia ya kuhamasisha watu wengi kukitoroka Chama Cha Mapinduzi na kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo chetu, baadhi ya majina ya vigogo wa CCM wanaodhaniwa kuwa huenda wakajiunga na kambi ya upinzani kupitia kampeni hiyo ni pamoja na mwana siasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru.Wengine wanaotajwa kuwa...
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Chadema waunda safu mpya Kigoma
![Chama cha Demokrasia na Maendeleo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/chadema.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Na Editha Karlo, Kigoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kigoma, kimefanya uchaguzi na kuchagua viongozi wa chama hicho wa mkoa na wilaya.
Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni na Usimamizi katika chama hicho, Benson Kigaila ambaye alikuwa msimamizi wa uchaguzi huo, alisema ulifanyika kuziba mapengo yaliyoachwa wazi baada ya viongozi kujiuzulu.
Kigaila aliwataja viongozi waliochaguliwa ambao watashika madaraka hayo hadi uchaguzi utakapofanyika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EJwNVHJjSIc/VQfUVFgPOHI/AAAAAAAHK5k/xKCMfQSmJc0/s72-c/FFU-ughaibuni%2Bwakifanya%2Bvitu%2Bvyao%2BStuttgart%2CUjerumani.jpg)
Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni walipoliweka jiji la Stuttgart chini yao
Na Paparazi wa Globu ya jamii Ughaibuni,
Bendi Maarufu ya Muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni usiku wa Jumamosi ya 14 Machi 2015 walifanikiwa kufanya mavitu yao jukwaani na kuliweka jiji la Stuttgart,chini ya himaya na muziki wao,katika onyesho la Africa Unite Party.
pamoja na ulinzi ulioandaliwa lakini kikosi cha Ngoma Africa band kilikuwa "Fit on Fire",sheria za ughaibuni zinawaruhusu kutinga na viwalo ..kila nchi inautaratibu na sheria zake
![](http://2.bp.blogspot.com/-EJwNVHJjSIc/VQfUVFgPOHI/AAAAAAAHK5k/xKCMfQSmJc0/s1600/FFU-ughaibuni%2Bwakifanya%2Bvitu%2Bvyao%2BStuttgart%2CUjerumani.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6xDl1BGNKI/VM91gL5AM1I/AAAAAAAHBAc/w0bWkqTCCEQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
NMB Yalishukuru Jeshi la Polisi kwa kuifanya benki hiyo kuwa chaguo lao la kwanza
10 years ago
Habarileo24 Dec
Madereva waaswa, ulevi ni hatari kwa maisha yao
MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria, kutotumia vinywaji vyenye ulevi na kuacha tabia ya kuongea na simu kwa kutuma au kupokea ujumbe wa maneno wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.
11 years ago
MichuziCULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.
Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tCSX9muN9s0/VI7TQi1urDI/AAAAAAAG3Ts/GyQ_MNeacPM/s72-c/MMGM1215.jpg)
Hii ni hatari
![](http://3.bp.blogspot.com/-tCSX9muN9s0/VI7TQi1urDI/AAAAAAAG3Ts/GyQ_MNeacPM/s1600/MMGM1215.jpg)