Chadema waunda safu mpya Kigoma
Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Na Editha Karlo, Kigoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kigoma, kimefanya uchaguzi na kuchagua viongozi wa chama hicho wa mkoa na wilaya.
Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni na Usimamizi katika chama hicho, Benson Kigaila ambaye alikuwa msimamizi wa uchaguzi huo, alisema ulifanyika kuziba mapengo yaliyoachwa wazi baada ya viongozi kujiuzulu.
Kigaila aliwataja viongozi waliochaguliwa ambao watashika madaraka hayo hadi uchaguzi utakapofanyika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Safu mpya CHADEMA ilete mageuzi
MACHO na masikio ya wanaoitakia mema nchi hii, wanautegemea uongozi mpya wa Chama cha Demokrasia na Maeneleo (CHADEMA) toka msingi, wilaya, mkoa na taifa, kukomeshe fedha za walalahoi zinazotafunwa na...
10 years ago
GPLSAFU MPYA YA UONGOZI WA CHADEMA KWA MIAKA MITANO IJAYO
9 years ago
MichuziSAFU MPYA NISHATI NA MADINI
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Kiongera, Ungando waunda pacha mpya Simba
NA KOMBO ALI KOMBO, ZANZIBAR
MASHABIKI wa timu ya Simba visiwani hapa wameanza kufurahishwa na viwango vya nyota wao wapya, Paul Kiongera na Hijja Ungando, wakidai wametengeneza kombinesheni nzuri.
Ungando na Kiongera, aliyekuwa kwa mkopo KCB ya Kenya, wameanza kufanya vizuri kwenye maandalizi ya Simba kuelekea mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Jumamosi hii.
Akizungumza mara baada ya mazoezi ya jana, mmoja wa mashabiki hao...
9 years ago
Vijimambo11 years ago
Mwananchi19 Jul
Chadema yapasuka Kigoma
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Vigogo CHADEMA Kigoma wajiuzulu
VIONGOZI watatu wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Kigoma, wamejiuzulu nafasi na uanachama wao kwa madai ya ubabe wa viongozi wa chama hicho kitaifa. Waliojiuzulu ni...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
CHADEMA yaibana ACT Kigoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani hapa, kimetoa siku 14 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhani Maneno kuhakikisha anatoa amri ya kushushwa bendera ya Chama cha ACT katika...
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Kigogo Chadema ashambuliwa Kigoma