Chadema yapasuka Kigoma
Viongozi watatu wa Chadema mkoani Kigoma, wametangaza kujitoa katika chama hicho kwa madai hakina demokrasia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Aug
Chadema Monduli yapasuka ‘vipandevipande’
UONGOZI wa Chadema wilayani Monduli umesambaratika, kufuatia hatua ya viongozi wa juu wa chama hicho kujiuzulu nyadhifa zao.
9 years ago
StarTV21 Aug
Chadema yapasuka Bunda, kisa Bulaya
Bulaya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), alihamia Chadema hivi karibuni na moja kwa moja kwenda kujaribu siasa za...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Vigogo CHADEMA Kigoma wajiuzulu
VIONGOZI watatu wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Kigoma, wamejiuzulu nafasi na uanachama wao kwa madai ya ubabe wa viongozi wa chama hicho kitaifa. Waliojiuzulu ni...
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Kigogo Chadema ashambuliwa Kigoma
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
CHADEMA yaibana ACT Kigoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani hapa, kimetoa siku 14 kwa Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Ramadhani Maneno kuhakikisha anatoa amri ya kushushwa bendera ya Chama cha ACT katika...
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Chadema waunda safu mpya Kigoma
![Chama cha Demokrasia na Maendeleo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/chadema.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Na Editha Karlo, Kigoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kigoma, kimefanya uchaguzi na kuchagua viongozi wa chama hicho wa mkoa na wilaya.
Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni na Usimamizi katika chama hicho, Benson Kigaila ambaye alikuwa msimamizi wa uchaguzi huo, alisema ulifanyika kuziba mapengo yaliyoachwa wazi baada ya viongozi kujiuzulu.
Kigaila aliwataja viongozi waliochaguliwa ambao watashika madaraka hayo hadi uchaguzi utakapofanyika...
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
CHADEMA Kigoma yapata viongozi wapya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Kigoma kimepata viongozi wapya ngazi ya Mkoa na Wilaya katika uchaguzi uliyofanyika jana. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni...
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Viongozi CHADEMA Kigoma wajiunga na ACT
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jafari Kasisiko (katikati) Katibu wa Mkoa CHADEMA, Msafiri Wamalwa (kushoto), Katibu wa BAWATA Bi. Malunga Simba wakiwa wanatangaza uamuzi wao wa kujitoa CHADEMA mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Mwandishi wetu
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) Jafari Kasisiko , Katibu wa mkoa Msafiri Wamalwa na Katibu wa Baraza la wanawake, Bi. Malunga Simba wa chama hicho Mkoa wa Kigoma...
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Chadema yapata viongozi wapya Kigoma
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mkoani Kigoma, kimepata uongozi mpya wa chama hicho kufuatia uongozi uliokuwepo awali kujiuzulu na kuhamia chama cha Allience For Change and Transparency (ACT – Tanzania).
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila, ambaye alikuwa msimamizi wa zoezi la kupatikana kwa viongozi hao...