Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema Monduli yapasuka ‘vipandevipande’

UONGOZI wa Chadema wilayani Monduli umesambaratika, kufuatia hatua ya viongozi wa juu wa chama hicho kujiuzulu nyadhifa zao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Chadema yapasuka Kigoma

Viongozi watatu wa Chadema mkoani Kigoma, wametangaza kujitoa katika chama hicho kwa madai hakina demokrasia.

 

9 years ago

StarTV

Chadema yapasuka Bunda, kisa Bulaya

KARIBU robo tatu ya viongozi wakuu wa Chadema wilayani hapa, walijiuzulu nyadhifa zao jana na kutangaza kuhamishia nguvu zao kwa mgombea ubunge wa CCM, Stephen Wasira. Wamedai wanafanya hivyo kutokana na kukerwa na kitendo cha makao makuu ya Chadema, kumpitisha Esther Bulaya kuwa mgombea ubunge jimboni humo, licha ya kuwa alishika nafasi ya tatu katika kura za maoni.

Bulaya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), alihamia Chadema hivi karibuni na moja kwa moja kwenda kujaribu siasa za...

 

9 years ago

TheCitizen

Chadema takes Monduli constituency

Chadema candidate for Monduli constituency, Mr Julius Kalanga has emerged winner against CCM’s Namelok Sokoine.

 

9 years ago

Dewji Blog

Chadema Monduli wasema wao wataanza na elimu

Mgombea udiwani monduli mjini kwa Tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Izak Joseph akihutubia mamia ya wakazi wa mji wa Monduli juzi katika viwanja vya  soko la alhamis  wakati akizindua rasmi kampeni za mgombea huyo.

Wagombea Udiwani na Ubunge jimbo la Monduli kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wametaja sekta ya elimu kuwa moja ya vipaumbele watakapofanikiwa kushinda uchaguzi mkuu ujao.

Akihutubia mkutano wa kampeni mjini Monduli juzi, mgombea ubunge...

 

9 years ago

IPPmedia

Entire CCM ward leadership in Monduli defects to Chadema


Entire CCM ward leadership in Monduli defects to Chadema
IPPmedia
The entire ward leaders of Chama cha Mapinduzi (CCM) yesterday announced their defection from CCM and joining the leading opposition party Chadema. These most recent defectors said they did so because; “we are tired of the unbecoming remarks by ...

 

11 years ago

GPL

BONGO MOVIES VIPANDEVIPANDE!

Wasanii walojiunga CCM wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete. Stori: Waandishi Wetu
MPASUKO mkubwa umeikumba tasnia ya filamu Bongo baada ya baadhi ya wasanii wanaong’ara kuchukua kadi rasmi za kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Tukio hilo lilitokea juzi, Jumapili jijini Mbeya kulipokuwa na sherehe za maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho...

 

11 years ago

Mwananchi

Dambaya asihi wasiondoke vipandevipande

Mwanahabari na mjumbe wa Bunge Maalumu, Hamis Dambaya amesema wajumbe wa Bunge hilo wanatakiwa kutumia uwezo wao wote kuwashawishi wenzao waliotoka nje, kurejea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani