Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema Monduli wasema wao wataanza na elimu

Mgombea udiwani monduli mjini kwa Tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Izak Joseph akihutubia mamia ya wakazi wa mji wa Monduli juzi katika viwanja vya  soko la alhamis  wakati akizindua rasmi kampeni za mgombea huyo.

Wagombea Udiwani na Ubunge jimbo la Monduli kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wametaja sekta ya elimu kuwa moja ya vipaumbele watakapofanikiwa kushinda uchaguzi mkuu ujao.

Akihutubia mkutano wa kampeni mjini Monduli juzi, mgombea ubunge...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WANANCHI KUTOKA MARA WAWASILI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA MONDULI,WAMKOSA WAELEZEA UJIO WAO

Akizungumza na waandishi wa habari aliyekuwa katibu wa umoja wa wanawake wa {UWT} chama cha mapinduzi wilaya ya Serengeti Anna Mathayo Chacha alisema kuwa lowasa  ndie chaguo lao kwa kuwa ni kiongoziwanayeamini kuwa ataivusha nchi kutoka hapa ilipo ikiwa ni pamoja na kukipa heshima  na nguvu chama.Mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi wilaya ya Serengeti Daniel Kegocha ambaye pia ni diwani aliomba chama hicho kuona umuhimu wa kumpitisha jina la Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKATIBU WA CCM VUNJO WASEMA HAWANA UGOMVI NA KATIBU WAO WA WILAYA

Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi Moshi vijijini  ,Hussein Jamal akizungumza wakati wa kikao cha makatibu kata na makatibu wa matawi kilichofanyika katika hotel ya King Size Himo.Mwenyekiti wa Makatibu katika jimbo la Vunjo ,Shaban Mwangi akisoma taarifa ambayo inadaiwa kupikwa kwa lengo la kukivuruga chama hicho katika jimbo la Vunjo.Katibu wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Moshi vijijini Miriam Kaaya akizungumza wakati wa kikao hicho ambacho kilijadili pia tuhuma zilizotolewa dhidi yake.Naibu...

 

10 years ago

Bongo5

Dully Sykes na Spice Digital vitani, asema wamemdhulumu, wao wasema wanamdai

Msanii mkongwe nchini, Dully Sykes amefunguka kwa uchungu na kusema kuwa yupo kwenye muziki miaka 15 lakini bado hajanufaika na kitu chochote kupitia muziki. Hivi karibuni msanii huyo ameingia kwenye vita vya maneno na kampuni ya Spice Digital ambayo anadai imemdhulumu pesa zake za mauzo ya RBT ya mwaka mzima. Dully ameitaka kampuni hiyo kumlipa […]

 

9 years ago

Michuzi

UBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE, WASEMA DK. MAGUFULI NDIYO MKOMBOZI WAO

 Wakazi wa Ubungo wakimshangilia kwa shangwe mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli. Wananchi wakiwamtandikia apite.

 

9 years ago

StarTV

Wazee Chadema wasema Kuhama kwa Kingunge kusiwe sababu ya kumkebehi

Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA limekemea tabia ya kukebehi na kudhihaki kitendo alichokifanya kada mkongwe wa CCM Kingunge Ngombale Mwiru cha kukihama Chama hicho na kudai kuwa kila Mtanzania ana uhuru wa kujiamulia masuala yake binafsi.

Wamedai kuhama chama kusipokelewe kama dhambi bali ni ukomavu wa mtu katika demokrasia.

Katibu Mkuu wa Baraza la Wazee wa Chadema Rodriki Rutembeka anazungumza na waandishi kuhusu hali halisi inavyoendelea tangu Mzee Kingunge...

 

9 years ago

TheCitizen

Chadema takes Monduli constituency

Chadema candidate for Monduli constituency, Mr Julius Kalanga has emerged winner against CCM’s Namelok Sokoine.

 

9 years ago

Habarileo

Chadema Monduli yapasuka ‘vipandevipande’

UONGOZI wa Chadema wilayani Monduli umesambaratika, kufuatia hatua ya viongozi wa juu wa chama hicho kujiuzulu nyadhifa zao.

 

9 years ago

IPPmedia

Entire CCM ward leadership in Monduli defects to Chadema


Entire CCM ward leadership in Monduli defects to Chadema
IPPmedia
The entire ward leaders of Chama cha Mapinduzi (CCM) yesterday announced their defection from CCM and joining the leading opposition party Chadema. These most recent defectors said they did so because; “we are tired of the unbecoming remarks by ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani