‘Toroka Uje Ya Ukawa’ Kusomba Vigogo Hawa Wa CCM..? HII BALAA SASA
Taarifa tulizozipata zinaeleza kuwa Kambi ya Ukawa imepanga kuzindua rasmi kampeni yake walioyoipa jina la ‘Toroka Uje’, ikiwa na nia ya kuhamasisha watu wengi kukitoroka Chama Cha Mapinduzi na kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo chetu, baadhi ya majina ya vigogo wa CCM wanaodhaniwa kuwa huenda wakajiunga na kambi ya upinzani kupitia kampeni hiyo ni pamoja na mwana siasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru.Wengine wanaotajwa kuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboTOROKA UJE RASMI KUANZIA LEO WANA UKAWA(30 Days Movement). Makamanda 30 Kuongoza Mashambulizi..
TOROKA UJE RASMI KUANZIA KESHO WANA UKAWA.Chopa za Kutosha Angani katika kila kanda zikiongozwa na Makamanda 30.Hii ni operation maalum iliyopewa jina "TOROKA UJE" -Itakayo pita kwenye kata na vijiji , makamanda wa ukombozi watasambaa nchi nzima ndani ya siku 30 vijijini ili kuhakikisha kwamba CCM wanaondoka madarakani oktoba 25. Hizo chopa zimegawanyika kikanda Lindi , Mtwara na Pwani hii kanda ya pwani itabeba ujumbe okoa gesi yako sasa( itaongozwa na Tambwe Hiza , ). Ruvuma, Mbeya na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/YI4-kXfJvwA/default.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-VoXGilwxsPk/U-sjQOkRyAI/AAAAAAAABeQ/vxKyEL86Ddc/s72-c/Unknown.jpeg)
Vigogo UKAWA sasa waweseka
Waibuka na masharti mapya kwa JK, SittaWadai waliowasaliti wamesukumwa na njaaHaki za wanaume zapigiwa upatu Katiba mpyaMjumbe aliyepigwa, apiga kura akiwa kitandani
NA WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
BAADA ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na vikao vyake kwa utulivu, viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wameibuka na kutoa masharti mapya.
Masharti ya kundi hilo ambalo limesusia vikao vya bunge hilo kutokana na kujali maslahi yao binafsi ikiwemo ya kusaka madaraka, ni...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Ukawa sasa waitisha CCM
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BtcjufSiimo/VcCo7nPbrkI/AAAAAAAB9bI/_iYXFbpTshQ/s72-c/mahanga.jpg)
VIGOGO WA CCM MAKONGORO MAHANGA + MSINDAI MGANA + OMEDEYI WAJIUNGA RASMI NA CHADEMA SASA HIVI MLIMANI CITY LIVE!
![](http://3.bp.blogspot.com/-BtcjufSiimo/VcCo7nPbrkI/AAAAAAAB9bI/_iYXFbpTshQ/s640/mahanga.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JK8_ea4R1nY/VcCohO9eJDI/AAAAAAAB9a4/so3FBhqstUg/s640/msindai.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iqEOWk9lHZI/VcCojj0IJBI/AAAAAAAB9bA/GOogNt3Sido/s640/olemedeyi.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAECp-WDqv93HFJ3mQG45sV-r8xHk6RjiSGTDwcrzfjI695kwTWaKjTdPeibpvvgf0D-qMDzG56J33jb2Z7wVKSS/kufuli3.jpg?width=650)
UKAWA, CCM SASA LALA SALAMA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EjYkHz0b4aY/Vc3K1fpeIZI/AAAAAAAAJoY/X45MgjUSHbY/s72-c/attachment.php.jpg)
11 years ago
Habarileo10 Dec
Vigogo watakaomuaga Mandela leo hawa hapa
DUNIA leo inaelekeza macho na masikio Afrika Kusini, wakati viongozi 90 wakuu wa nchi na Serikali, viongozi wa mashirika ya kimataifa na watu mashuhuri, watakaposhiriki katika siku ya kitaifa ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Maalim Seif: Siwezi kamwe kurudi CCM hii ya sasa