UKAWA, CCM SASA LALA SALAMA
![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAECp-WDqv93HFJ3mQG45sV-r8xHk6RjiSGTDwcrzfjI695kwTWaKjTdPeibpvvgf0D-qMDzG56J33jb2Z7wVKSS/kufuli3.jpg?width=650)
Magufuli akiwa kwenye moja ya kampeni zake. VITA vya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu inazidi kukolea na kwa mujibu wa habari kutoka kambi mbili pinzani za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), leo vyama hivyo vinaanza ngwe ya lala salama. Chanzo cha habari kilicho karibu na timu ya kampeni ya CCM, kimesema chama chao ndiyo kama kinaanza rasmi shughuli hiyo leo, kwani kinategemewa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eRKE111vqTc/Vh6D5PeSqBI/AAAAAAAAbME/-xt83rMO_oQ/s72-c/OTH_2968.jpg)
LALA SALAMA YA KAMPENI ZA UKAWA SASA KUTUA PWANI NA KUMALIZIA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-eRKE111vqTc/Vh6D5PeSqBI/AAAAAAAAbME/-xt83rMO_oQ/s640/OTH_2968.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xJBjd9iUNDk/Uz7vzfCNdpI/AAAAAAAFYlc/g9PDIx1aCEE/s72-c/_1.jpg)
KAMPENI ZA LALA SALAMA ZA CCM JIMBO LA CHALINZE,ZAZIDI KUTIA FORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xJBjd9iUNDk/Uz7vzfCNdpI/AAAAAAAFYlc/g9PDIx1aCEE/s1600/_1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PJTTtJqG43Q/Uz7wkj-3JfI/AAAAAAAFYl8/LVUOaInye1I/s1600/_9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lrU1ShTjggQ/Uz7wL9dPwrI/AAAAAAAFYls/n5Z0GXiWoyE/s1600/_11.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oa-wUKujyK4/UzsMUUh9NgI/AAAAAAAFXo0/Dg2zRCHYscY/s72-c/1.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KWA KASI KATIKA HATUA ZA LALA SALAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oa-wUKujyK4/UzsMUUh9NgI/AAAAAAAFXo0/Dg2zRCHYscY/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jNpgFU7PFZM/UzsNxF0j-CI/AAAAAAAFXrk/GYJgALzszdc/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3gNCgFm96TU/UzsNUWD_zFI/AAAAAAAFXqc/6o9JcbDBGlk/s1600/21.jpg)
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mzunguko wa Lala salama
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Bajeti ya lala salama
11 years ago
Habarileo13 Jun
Ni Bajeti ya lala salama
BAJETI Kuu ya Serikali ya Sh trilioni 19.87, imewasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, huku ikiwabana wananchi katika bidhaa na huduma za starehe, na kipaumbele kikubwa kikiwa elimu.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
Kura za Lala salama
Kampeni ni ushawishi. Kampeni ni kujikaribisha. Na kampeni ni kukubalika. Ikiwa zimebaki saa chache kufika siku ya siku (day of a day) kuna kila sababu ya kuendelea kufanya kampeni ili uweze kushawishi, kujikaribisha, na kukubalika. Kwa […]
The post Kura za Lala salama appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo18 Oct
Wiki ya kampeni za lala salama
JUMAPILI ijayo Watanzania wote wenye sifa ya kupiga kura, watatumia haki yao hiyo kuchagua viongozi wa Taifa hili katika nafasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wabunge, wawakilishi na madiwani nchi nzima.