LALA SALAMA YA KAMPENI ZA UKAWA SASA KUTUA PWANI NA KUMALIZIA MBEYA

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiungwa mkono na vyama vine vinavyounda vuguvugu la Umoja wa Katiba ya Wananchi, UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akimsalimia Bi. Lemmy Mahogija (albino) na Mtoto wake Zawadi Elias, wakati alipowasili kwenye Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Masumbwe, Jimbo la Mbogwe, Mkoani Geita leo Oktoba 14, 2015. Mheshimiwa Lowassa na timu yake ya kampeni, wameendelea kuimarisha kampeni zao...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
UKAWA, CCM SASA LALA SALAMA
10 years ago
Habarileo18 Oct
Wiki ya kampeni za lala salama
JUMAPILI ijayo Watanzania wote wenye sifa ya kupiga kura, watatumia haki yao hiyo kuchagua viongozi wa Taifa hili katika nafasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wabunge, wawakilishi na madiwani nchi nzima.
11 years ago
Michuzi
Ridhiwani kikwete aendelea na kampeni za lala salama chalinze


11 years ago
GPL
RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA LALA SALAMA YA KAMPENI CHALINZE
11 years ago
Michuzi
KAMPENI ZA LALA SALAMA ZA CCM JIMBO LA CHALINZE,ZAZIDI KUTIA FORA



11 years ago
Michuzi
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KWA KASI KATIKA HATUA ZA LALA SALAMA



10 years ago
Mwananchi18 Oct
Tuepuke ajali hizi kipindi cha lala salama cha kampeni
5 years ago
CCM BlogTUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA