Ukawa sasa waitisha CCM
>Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema kampeni za mwaka huu zitakazofanywa na umoja huo, hazijawahi kuonekana tangu nchi ipate uhuru 1961.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Mgogoro Zanzibar waitisha CCM
*Yaunga mkono juhudi za Dk. Magufuli
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar unaitia doa Tanzania kwenye uso wa kimataifa, licha ya kwamba Serikali ya awamu ya tano imeanza kutekeleza vizuri majukumu yake.
Nape ambaye jana alitembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, alisema kinachofanywa na Rais Dk. John Magufuli kwa sasa ni...
10 years ago
Mtanzania13 Nov
Wapiga kura wanaoelea waitisha CCM
Elias Msuya na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
KATIBU wa Itikadi na Uendezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema licha ya matokeo ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuonesha kuwa chama hicho kinaongoza dhidi ya wapinzani, bado kuna wasiwasi wa kura za wananchi wasiofungamana na upande wowote (swing voters).
Akizungumza katika mjadala wa matokeo ya utafiti wa Twaweza wa Tanzania kuelekea 2015 uliozinduliwa jana jijini Dar es Salaam, Nape alisema kuna haja ya kuwaangalia wapiga kura...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAECp-WDqv93HFJ3mQG45sV-r8xHk6RjiSGTDwcrzfjI695kwTWaKjTdPeibpvvgf0D-qMDzG56J33jb2Z7wVKSS/kufuli3.jpg?width=650)
UKAWA, CCM SASA LALA SALAMA
9 years ago
Vijimambo‘Toroka Uje Ya Ukawa’ Kusomba Vigogo Hawa Wa CCM..? HII BALAA SASA
Taarifa tulizozipata zinaeleza kuwa Kambi ya Ukawa imepanga kuzindua rasmi kampeni yake walioyoipa jina la ‘Toroka Uje’, ikiwa na nia ya kuhamasisha watu wengi kukitoroka Chama Cha Mapinduzi na kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo chetu, baadhi ya majina ya vigogo wa CCM wanaodhaniwa kuwa huenda wakajiunga na kambi ya upinzani kupitia kampeni hiyo ni pamoja na mwana siasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru.Wengine wanaotajwa kuwa...
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Upinzani waitisha maandamano DRC
9 years ago
Habarileo28 Oct
Ndanda FC waitisha Stand United
TIMU ya soka ya Ndanda FC ya Mtwara imesema kipigo cha bao 1-0 ilichokipata kutoka kwa Azam Alhamisi wiki iliyopita kimewapa changamoto ya kujipanga vizuri zaidi kwa michezo ijayo ikianzia leo dhidi ya Stand United.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mwzcilLs5b5ByVb-jOB5XMbfDbD2pKsckPZczQl1X0YldCPIPTlYaV3y7eaGvtzXD87GWlebOj6VPirpLWE7kw5/frontuwaziMizengwe1.jpg)
LOWASSA SASA RASMI UKAWA
11 years ago
Habarileo02 Aug
Ukawa sasa pasua kichwa
LICHA ya agizo la Rais Jakaya Kikwete la kuwataka viongozi wa vyama vya siasa na wafuasi wao, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), kuacha kususa na kurejea katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ili kuendelea na mchakato huo, kufikia jana hakukuwa na mwelekeo wa kulegeza msimamo wao.
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Ukawa sasa hatarini kufutwa