Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa sasa hatarini kufutwa

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) sasa upo hatarini kufutwa kutokana na kutuhumiwa kutumika kuwachochea wajumbe kufanya vurugu katika Bunge la Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Madiwani, wenyeviti wa mitaa hatarini kufutwa

Mwenyekiti wa Alat, Dk Didas MasaburiMCHAKATO wa Katiba mpya unaoendelea umewaweka madiwani na wenyeviti wa mitaa, vijiji na vitongoji katika hali ya sintofahamu, baada ya Rasimu ya Pili ya Katiba, kutotamka chochote kuhusu Serikali za Mitaa.

 

10 years ago

Habarileo

Ada sekondari sasa kufutwa

Rais Jakaya KikweteSERIKALI inajipanga kufuta ada za sekondari, ili elimu kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne, itolewe bure.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wanawake sasa hatarini Arusha’

>Wanawake wanaoendesha magari katika Jiji la Arusha, wamekumbwa na hofu kutokana na kuibuka watu  wasiojukikana ambao wanawashambulia kwa risasi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo kuhusu Gaza sasa hatarini

Pande zote mbili katika mazungumzo ya kusitisha vita katika eneo la Gaza zimeonya kuwa mpango wa mazungumzo hayo upo hatarini.

 

10 years ago

Habarileo

Hifadhi ya Ngorongoro sasa hatarini kutoweka

Naibu Waziri Maliasili na Utalii, Mahmoud MgimwaHIFADHI ya Taifa ya Ngorongoro imetajwa kuwa ipo hatarini kutoweka, kutokana na mwingiliano wa watu kuwa mkubwa huku idara nyingi zikiongozwa na watu wasiostahili kuongoza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA sasa kuingia mikoani

HARAKATI za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), za kuizuia CCM isihodhi mchakato wa uandikaji wa Katiba  sasa zimechukua sura mpya ya kufanya mikutano ya hadhara mikoani. Awali UKAWA walikuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Busara ya Ukawa sasa inahitajika

Sauti za viongozi wa kisiasa, kiserikali na madhehebu ya dini kuwaasa na kuwasihi Ukawa warejee bungeni zimesikika, kazi sasa ni kwa wajumbe wa kundi hilo kuitikia wito huo au kuziba masikio.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vigogo UKAWA sasa waweseka



Waibuka na masharti mapya kwa JK, SittaWadai waliowasaliti wamesukumwa na njaaHaki za wanaume zapigiwa upatu Katiba mpyaMjumbe aliyepigwa, apiga kura akiwa kitandani
NA WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
BAADA ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na vikao vyake kwa utulivu, viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wameibuka na kutoa masharti mapya.
Masharti ya kundi hilo ambalo limesusia vikao vya bunge hilo kutokana na kujali maslahi yao binafsi ikiwemo ya kusaka madaraka, ni...

 

11 years ago

Habarileo

Ukawa sasa pasua kichwa

LICHA ya agizo la Rais Jakaya Kikwete la kuwataka viongozi wa vyama vya siasa na wafuasi wao, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), kuacha kususa na kurejea katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ili kuendelea na mchakato huo, kufikia jana hakukuwa na mwelekeo wa kulegeza msimamo wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani