Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazungumzo kuhusu Gaza sasa hatarini

Pande zote mbili katika mazungumzo ya kusitisha vita katika eneo la Gaza zimeonya kuwa mpango wa mazungumzo hayo upo hatarini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

UNICEF: Raia wapo hatarini Gaza

Mkuu wa shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF kwenye ukanda wa Gaza anasema kuwa raia wengi wamo hatarini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gaza:Mazungumzo yaendelea

Wawakilishi wa Israel na Palestina wanatarajiwa kukutana katika mji mkuu wa Cairo nchini Misri siku ya jumapili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya Gaza yasusiwa

Israil na Marekani hazitohudhuria mazungumzo ya kujadili usitishwaji wa mapigano Gaza na hakuna matumaini ya suluhu

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wanawake sasa hatarini Arusha’

>Wanawake wanaoendesha magari katika Jiji la Arusha, wamekumbwa na hofu kutokana na kuibuka watu  wasiojukikana ambao wanawashambulia kwa risasi.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa sasa hatarini kufutwa

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) sasa upo hatarini kufutwa kutokana na kutuhumiwa kutumika kuwachochea wajumbe kufanya vurugu katika Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Hifadhi ya Ngorongoro sasa hatarini kutoweka

Naibu Waziri Maliasili na Utalii, Mahmoud MgimwaHIFADHI ya Taifa ya Ngorongoro imetajwa kuwa ipo hatarini kutoweka, kutokana na mwingiliano wa watu kuwa mkubwa huku idara nyingi zikiongozwa na watu wasiostahili kuongoza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo kuhusu Syria yanaendelea Geneva

Siku ya kwanza ya mazungumzo ya amani kati ya wawakilishi wa serikali ya Syria na waasi yanatarajiwa kuanza mjini Geneva nchini Uswizi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani kuhusu Libya yaanza

Mazungumzo kuhusu Libya yalioidhinishwa na Umoja wa mataifa yameanza huko Geneva leo yanayonuiwa kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

 

10 years ago

Michuzi

Mazungumzo na Salma Moshi kuhusu uchaguzi DMV

 Salma Moshi akizungumza na Mubelwa Bandio kwenye mahojiano haya
Agosti 9, 2014, Jumuiya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia nchini Marekani ilifanya uchaguzi wake mkuu.Matokeo yake yamekuwa yakipingwa na waliokuwa wagombea wa uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali.Mmoja wa wagombea hao, Salma Moshi amaketi nasi kueleza sababu hasa za kupinga matokeo hayo siku ya Jumatano ya Agosti 13, 2014 chini ya utayarishaji wa Vijimambo BlogKaribu uungane nasi kusikia anachopinga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani