Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazungumzo kuhusu Syria yanaendelea Geneva

Siku ya kwanza ya mazungumzo ya amani kati ya wawakilishi wa serikali ya Syria na waasi yanatarajiwa kuanza mjini Geneva nchini Uswizi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mahasimu wa Syria kukutana Geneva

Waakilishi wa serikali ya Syria leo watakutana kwa mara ya kwanza katika chumba kimoja katika mkutano unaoendelea Geneva

 

11 years ago

BBCSwahili

Vitisho kwenye mkutano wa Syria Geneva

Waziri wa mambo ya nje wa Syria, Walid Muallem, ametoa tisho la kujiondoa kwenye mazungumzo ikiwa hakuna hatua zitakazokuwa zimefikiwa Jumamosi

 

11 years ago

Mwananchi

Mazungumzo yadoda nchini Syria

Pande ambazo zinapingana Syria zimeshambuliana kuhusiana na kushindwa kupata mafanikio halisi katika mazungumzo ya amani mjini Geneva, huku kukiwa na shaka juu ya ushiriki wa serikali katika duru mpya ya majadiliano

 

11 years ago

BBCSwahili

Awamu ya pili ya mazungumzo ya Syria

Awamu ya pili ya mazungumzo kati ya makundi ya upinzani katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria yameanza rasmi huko Geneva hii leo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Upinzani Syria kushiriki mazungumzo

Baada ya mjadala mkali, kundi la upinzani nchini Syria limekubali kuhudhuria mazungumzo ya amani mjini Geneva wiki ijayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran kutohudhuria mazungumzo ya Syria-UN

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amefutilia mbali mwaliko uliotolewa kwa Iran kuhudhuria mazungumzo ya amani ya Syria nchini Uswisi

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Modest Mero afanya mazungumzo na Mh. Dkt. Seif Rashid, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii na Bi. Agness Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa, Geneva, Uswisi

 Balozi Modest Mero na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Bi. Agness Kijazi katika picha ya pamoja, kwenye makazi ya balozi Tanzania nchini Geneva
Hivi karibuni Mh. Modest Mero, Balozi wa Tanzania, Geneva alifanya mazungumzo ya pamoja na Mh. Dkt. Seif Rashid na Bi. Agness Kijazi, katika makazi ya Balozi, Geneva.
Ujumbe wa Mh. Waziri ulikuwa Geneva kwenye kikao cha Bodi ya " Global Alliance for Vaccines and Immunization", Geneva, ambapo Mh. Waziri ni mjumbe wa Bodi. Na pia...

 

11 years ago

Mwananchi

Putin azungumza na Rouhani kuhusu Syria

Rais Vladmir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na Rais wa Iran, Hassan Rouhani kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mkutano wa kimataifa wa amani wa Geneva 2.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kerry na Putin kujadiliana kuhusu Syria

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry yumo nchini Moscow kwa mashauriano na Rais Vladimir Putin kuhusu njia za kumaliza vita Syria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani