Mazungumzo yadoda nchini Syria
Pande ambazo zinapingana Syria zimeshambuliana kuhusiana na kushindwa kupata mafanikio halisi katika mazungumzo ya amani mjini Geneva, huku kukiwa na shaka juu ya ushiriki wa serikali katika duru mpya ya majadiliano
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
11 years ago
BBCSwahili19 Jan
Upinzani Syria kushiriki mazungumzo
Baada ya mjadala mkali, kundi la upinzani nchini Syria limekubali kuhudhuria mazungumzo ya amani mjini Geneva wiki ijayo.
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Awamu ya pili ya mazungumzo ya Syria
Awamu ya pili ya mazungumzo kati ya makundi ya upinzani katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria yameanza rasmi huko Geneva hii leo.
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Iran kutohudhuria mazungumzo ya Syria-UN
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa amefutilia mbali mwaliko uliotolewa kwa Iran kuhudhuria mazungumzo ya amani ya Syria nchini Uswisi
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Mazungumzo kuhusu Syria yanaendelea Geneva
Siku ya kwanza ya mazungumzo ya amani kati ya wawakilishi wa serikali ya Syria na waasi yanatarajiwa kuanza mjini Geneva nchini Uswizi
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Dhiki na mahangaiko nchini Syria
Kwa miaka mitatu sasa, majeshi ya serikali na waasi wanapigana kutaka kudhibiti nchi ya Syria, huku taabu na dhiki kwa mamilioni ya raia ikizidi.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mauaji ya Paris yalipangwa nchini Syria
Waziri mkuu wa Ufaransa ,Manuel Valls, amesema polisi wamegundua kuwa mauaji yaliyotokea mjini Paris Ufaransa siku ya Ijumaa yalipangwa nchini Syria.
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Uingereza yashambulia tena IS nchini Syria
Ndege za kivita za Uingereza zimeshambulia kwa mara ya pili ngome za wapiganaji wa Islamic State nchini Syria tangu kuidhinishwa kwa operesheni hiyo.
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Upinzani nchini Syria wakutana Saudi Arabia
Makundi ya upinzani nchini Syria yanatarajiwa kukutana nchini Saudi Arabia katika jitiha za kuwaunganisha
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania