Dhiki na mahangaiko nchini Syria
Kwa miaka mitatu sasa, majeshi ya serikali na waasi wanapigana kutaka kudhibiti nchi ya Syria, huku taabu na dhiki kwa mamilioni ya raia ikizidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mzozo wa Syria: Baba amfundisha mwanae kuyacheka mabomu kukabiliana na dhiki ya vita
Mashambulio ya anga na mabomu yalimfanya baba wa Syria Abdullah Mohammad kubuni njia mpya ya kumsaidiabinti yake kuishi na sauti za vita: Kicheko.
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Mazungumzo yadoda nchini Syria
Pande ambazo zinapingana Syria zimeshambuliana kuhusiana na kushindwa kupata mafanikio halisi katika mazungumzo ya amani mjini Geneva, huku kukiwa na shaka juu ya ushiriki wa serikali katika duru mpya ya majadiliano
10 years ago
Mwananchi12 Sep
‘Magonjwa, dhiki na njaa vinaturudisha nyuma’
Hayati Mwalimu Julius Nyerere alitangaza wakati wa utawala wake maadui watatu wa Mtanzania kuwa ni ujinga, umaskini na maradhi.
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Uingereza yashambulia tena IS nchini Syria
Ndege za kivita za Uingereza zimeshambulia kwa mara ya pili ngome za wapiganaji wa Islamic State nchini Syria tangu kuidhinishwa kwa operesheni hiyo.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mauaji ya Paris yalipangwa nchini Syria
Waziri mkuu wa Ufaransa ,Manuel Valls, amesema polisi wamegundua kuwa mauaji yaliyotokea mjini Paris Ufaransa siku ya Ijumaa yalipangwa nchini Syria.
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Watu 76 elfu wauawa nchini Syria 2014
Watu 76 elfu wameuawa katika mgogoro wa Syria katika mwaka 2014 pekee.
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Upinzani nchini Syria wakutana Saudi Arabia
Makundi ya upinzani nchini Syria yanatarajiwa kukutana nchini Saudi Arabia katika jitiha za kuwaunganisha
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania