Mauaji ya Paris yalipangwa nchini Syria
Waziri mkuu wa Ufaransa ,Manuel Valls, amesema polisi wamegundua kuwa mauaji yaliyotokea mjini Paris Ufaransa siku ya Ijumaa yalipangwa nchini Syria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Kiongozi wa IS aliyehusishwa na mauaji Paris auawa
Kiongozi wa kundi la Islamic State ambaye amehusishwa na shambulio la kigaidi la Paris Ufaransa ameuawa na majeshi ya muungano.
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mshukiwa akamatwa kuhusu mauaji ya Paris
Polisi nchini Ufaransa wamemkamata mwanamume eneo la Paris kwenye uchunguzi wao kuhusu mashambulio ya Novemba 13.
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Tuhuma za mauaji ya wafungwa Syria
Serikali ya Syria inadaiwa kuwatesa na kuwaua karibu wafungwa 10,000 tangu kuanza harakati za kumpinga Rais Bashar Al-Asaad.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Mauaji ya kikatili yaendelea Syria
Wakati vita vilivyojaa ukatili vikiendelea nchini Syria, katika mji kubwa wa Aleppo, maelfu ya watu imearifiwa wameuawa
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Syria yasema mauaji ya wanajeshi ni uchokozi
Serikali ya Syria imesema shambulio lililotekelezwa mashariki mwa nchi hiyo na kusababisha vifo vya wanajeshi wake watatu ni uchokozi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadPkBmjBOvf3uP3diX7LV78B9S04sPXz9LunPfV45jsAbKru*v9DXf8PWBJ7g6NWDh82YkiIy3jViosVo-oy*Ug/1.jpg)
ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ
Mpiganaji wa ISIS akinyanyua tofali la zege kumpiga mmoja wa wanaume waliokamatwa kwa kuua wanawake. Adhabu ya kuwapiga mawe wanaume waliokamatwa kwa mauaji ya wanawake watatu ikiendelea huko Iraq. Mmoja wa watuhumiwa wa uchawi akiwa tayari kuchinjwa na Kundi la ISIS huko Raqqa, Syria.…
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Mazungumzo yadoda nchini Syria
Pande ambazo zinapingana Syria zimeshambuliana kuhusiana na kushindwa kupata mafanikio halisi katika mazungumzo ya amani mjini Geneva, huku kukiwa na shaka juu ya ushiriki wa serikali katika duru mpya ya majadiliano
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Dhiki na mahangaiko nchini Syria
Kwa miaka mitatu sasa, majeshi ya serikali na waasi wanapigana kutaka kudhibiti nchi ya Syria, huku taabu na dhiki kwa mamilioni ya raia ikizidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania