Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauaji ya Paris yalipangwa nchini Syria

Waziri mkuu wa Ufaransa ,Manuel Valls, amesema polisi wamegundua kuwa mauaji yaliyotokea mjini Paris Ufaransa siku ya Ijumaa yalipangwa nchini Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa IS aliyehusishwa na mauaji Paris auawa

Kiongozi wa kundi la Islamic State ambaye amehusishwa na shambulio la kigaidi la Paris Ufaransa ameuawa na majeshi ya muungano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa akamatwa kuhusu mauaji ya Paris

Polisi nchini Ufaransa wamemkamata mwanamume eneo la Paris kwenye uchunguzi wao kuhusu mashambulio ya Novemba 13.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tuhuma za mauaji ya wafungwa Syria

Serikali ya Syria inadaiwa kuwatesa na kuwaua karibu wafungwa 10,000 tangu kuanza harakati za kumpinga Rais Bashar Al-Asaad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya kikatili yaendelea Syria

Wakati vita vilivyojaa ukatili vikiendelea nchini Syria, katika mji kubwa wa Aleppo, maelfu ya watu imearifiwa wameuawa

 

9 years ago

BBCSwahili

Syria yasema mauaji ya wanajeshi ni uchokozi

Serikali ya Syria imesema shambulio lililotekelezwa mashariki mwa nchi hiyo na kusababisha vifo vya wanajeshi wake watatu ni uchokozi.

 

10 years ago

GPL

ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ

Mpiganaji wa ISIS akinyanyua tofali la zege kumpiga mmoja wa wanaume waliokamatwa kwa kuua wanawake. Adhabu ya kuwapiga mawe wanaume waliokamatwa kwa mauaji ya wanawake watatu ikiendelea huko Iraq. Mmoja wa watuhumiwa wa uchawi akiwa tayari kuchinjwa na Kundi la ISIS huko Raqqa, Syria.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mazungumzo yadoda nchini Syria

Pande ambazo zinapingana Syria zimeshambuliana kuhusiana na kushindwa kupata mafanikio halisi katika mazungumzo ya amani mjini Geneva, huku kukiwa na shaka juu ya ushiriki wa serikali katika duru mpya ya majadiliano

 

11 years ago

BBCSwahili

Dhiki na mahangaiko nchini Syria

Kwa miaka mitatu sasa, majeshi ya serikali na waasi wanapigana kutaka kudhibiti nchi ya Syria, huku taabu na dhiki kwa mamilioni ya raia ikizidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani