Kiongozi wa IS aliyehusishwa na mauaji Paris auawa
Kiongozi wa kundi la Islamic State ambaye amehusishwa na shambulio la kigaidi la Paris Ufaransa ameuawa na majeshi ya muungano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Kiongozi wa shambulio la Paris yu wapi?
Bbc imebaini kwamba fursa ya kumkamata mtuhumiwa wa shambulio la mwezi uliopita mjini Paris, nchini Ufaransa huenda imepotezwa
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Kiongozi wa shambulizi la Paris 'alikuwa mlevi'
Mshukiwa aliyeongoza mashambulio ya kigaidi mjini Paris Abdelhamid Abaaoud,alionekana akinywa pombe na kuvuta bangi na watu wengine nje ya nyumba yake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ25sPWVtQQfAX9sEwT3ZkAzttc3P1LSAAHj1isxA0hEEXhu74JzvWDigJSqQ0giB0cwejHIdE1rmH6Z*woSoPN6/248118DE000005782901670Rescue_service_workers_evacuate_an_injured_person_on_a_stretchera53_1420718055123.jpg?width=650)
SHAMBULIO TENA PARIS, POLISI WA KIKE AUAWA KWA RISASI
Mmoja wa majeruhi wa shambulio la leo akipatiwa huduma ya kwanza na kikosi cha uokoaji. Eneo la Montrouge jijini Paris nchini Ufaransa lilipotokea shambulio la leo.…
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mshukiwa akamatwa kuhusu mauaji ya Paris
Polisi nchini Ufaransa wamemkamata mwanamume eneo la Paris kwenye uchunguzi wao kuhusu mashambulio ya Novemba 13.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mauaji ya Paris yalipangwa nchini Syria
Waziri mkuu wa Ufaransa ,Manuel Valls, amesema polisi wamegundua kuwa mauaji yaliyotokea mjini Paris Ufaransa siku ya Ijumaa yalipangwa nchini Syria.
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Kiongozi wa Al shabab auawa Somalia
Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema imethibitisha kuwa shambulio la ndege la wiki iliyopita nchini Somalia dhidi ya Al Shabab.
10 years ago
BBCSwahili24 May
Kiongozi wa upinzani auawa Burundi
Kiongozi wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia
Kongozi mmoja wa kundi la Al Shabaab Abdirahman Sandhere ameuawa katika shambulizi la ndege ya Marekani.
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Kiongozi wa upinzani auawa Urusi
Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Urusi Boris Nemtsov ameuawa kwa kupigwa risasi kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Moscow.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania