Kiongozi wa upinzani auawa Urusi
Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Urusi Boris Nemtsov ameuawa kwa kupigwa risasi kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Moscow.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 May
Kiongozi wa upinzani auawa Burundi
Kiongozi wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTauJmIS92HOSKBCPhxnrBoMrJ1VdM*xwFGvBnDsw3yWJSTFMarlueNGVihO-iRgRqRBuAyc3*ocsJmpWkorpRG/feruzi.jpg?width=650)
KIONGOZI WA CHAMA CHA UPINZANI BURUNDI AUAWA
Baadhi wananchi wakiwa eneo alipouawa Zedi Feruzi. KIONGOZI wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi katika Mji mkuu wa nchi hiyo Bujumbura. Mwili wa Zedi Feruzi amabye alikuwa kiongozi wa Chama cha Union for Peace and Development ulipatikana nje ya nyumba yake kwenye mji wa Bujumbura. Juzi Ijumaa watu wawili waliuawa katika maandamano hayo yaliyochukua wiki kadhaa huku… ...
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Kiongozi wa upinzani aachiliwa Burundi
Mahakama nchini Burundi imemwachilia kwa dhamana Frederic Bamvuginyumvira aliyekabiliwa na kashfa ya ngono na ulaji rushwa.
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Makao ya kiongozi wa upinzani yazungukwa
Kiongozi wa upinzani nchini Sudan Kusini Lam Akol anasema kuwa nyumba yake imezingirwa na vikosi vya usalama
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Kiongozi wa upinzani amekamatwa Niger
Kiongozi wa upinzani wa Niger amekamatwa mwaka mmoja baada ya kutoroka akiwa anakabiliwa na mashtaka ya biashara ya ulanguzi wa watoto.
11 years ago
BBCSwahili18 May
Kiongozi wa upinzani akamatwa Sudan
Kiongozi wa upinzani nchini Sudan Sadiq al Mahdi amekamatwa kutokana na madai ya kuchochea chuki dhidi ya serikali.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Kiongozi wa Upinzani aongezewa kifungo
Mahakama ya juu zaidi nchini Rwanda imemhukumu kiongozi wa Upinzani nchini humo Victoire Ingabire kifungo cha miaka 15.
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Kiongozi wa upinzani apinga kufuatiliwa
Kiongozi wa upinzani, Urusi amekatilia mbali kifaa cha elektroniki cha kufuatilia nyendo zake ikiwa ni kupinga adhabu aliyopewa.
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Msemaji wa upinzani auawa Burundi
Msemaji wa chama cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Bujumbura.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania