KIONGOZI WA CHAMA CHA UPINZANI BURUNDI AUAWA
![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTauJmIS92HOSKBCPhxnrBoMrJ1VdM*xwFGvBnDsw3yWJSTFMarlueNGVihO-iRgRqRBuAyc3*ocsJmpWkorpRG/feruzi.jpg?width=650)
Baadhi wananchi wakiwa eneo alipouawa Zedi Feruzi. KIONGOZI wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi katika Mji mkuu wa nchi hiyo Bujumbura. Mwili wa Zedi Feruzi amabye alikuwa kiongozi wa Chama cha Union for Peace and Development ulipatikana nje ya nyumba yake kwenye mji wa Bujumbura. Juzi Ijumaa watu wawili waliuawa katika maandamano hayo yaliyochukua wiki kadhaa huku… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 May
Kiongozi wa upinzani auawa Burundi
10 years ago
BBCSwahili10 May
Chama cha Upinzani chamteua kiongozi mweusi
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Kiongozi wa upinzani auawa Urusi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s72-c/ndayish.jpg)
CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s400/ndayish.jpg)
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.
Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Kiongozi wa upinzani aachiliwa Burundi
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Msemaji wa upinzani auawa Burundi
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Kiongozi wa upinzani atekwa nyara Burundi
10 years ago
Mwananchi25 May
TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani
5 years ago
BBCSwahili18 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Je, upinzani utafurukuta ama kumsindikiza mgombea wa chama tawala?