Kiongozi wa upinzani atekwa nyara Burundi
Mbunge wa zamani katika bunge la Afrika mashariki Francois Bizimana ameripotiwa kutekwa nyara siku ya jumapili mjini Bujumbura
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 May
Kiongozi wa upinzani auawa Burundi
Kiongozi wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Kiongozi wa upinzani aachiliwa Burundi
Mahakama nchini Burundi imemwachilia kwa dhamana Frederic Bamvuginyumvira aliyekabiliwa na kashfa ya ngono na ulaji rushwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTauJmIS92HOSKBCPhxnrBoMrJ1VdM*xwFGvBnDsw3yWJSTFMarlueNGVihO-iRgRqRBuAyc3*ocsJmpWkorpRG/feruzi.jpg?width=650)
KIONGOZI WA CHAMA CHA UPINZANI BURUNDI AUAWA
Baadhi wananchi wakiwa eneo alipouawa Zedi Feruzi. KIONGOZI wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi katika Mji mkuu wa nchi hiyo Bujumbura. Mwili wa Zedi Feruzi amabye alikuwa kiongozi wa Chama cha Union for Peace and Development ulipatikana nje ya nyumba yake kwenye mji wa Bujumbura. Juzi Ijumaa watu wawili waliuawa katika maandamano hayo yaliyochukua wiki kadhaa huku… ...
10 years ago
Mwananchi25 May
TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani
>Huku Serikali ikikanusha kuhusika katika mauaji ya kiongozi wa upinzani wa Burundi, baadhi ya makundi ya kisiasa yameanza kuingiwa na wasiwasi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya nchi hiyo, wiki moja baada ya Rais Pierre Nkurunziza kusogeza mbele tarehe uchaguzi wa wabunge.
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Waziri atekwa nyara na wanamgambo Libya
Wanamgambo wamemteka nyara naibu waziri wa maswala ya kigeni katika serikali inayotambuliwa kimataifa nchini Libya.
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Balozi wa Jordan atekwa nyara Libya
Balozi wa Jordan nchini Libya ametekwa nyara mjini Tripoli, katika shambulizi ambalo limemwacha dereva wake na majeraha mabaya.
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Mamaake Samson Siasia atekwa nyara Nigeria
Wapiganaji wamemteka nyara mamaake aliyekuwa mchezaji wa Nigeria Samson Siasa.
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Temeke atekwa nyara, ajeruhiwa
Mwenyekiti wa Chadema, Wilaya ya Temeke, Joseph Yona (32), ametekwa nyara na kujeruhiwa vibaya kwa kipigo kisha kutupwa katika vichaka eneo la Tegeta Ununio, wilayani Kinondoni a watu wasiojulikana.
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Kiongozi wa vijana JKT atekwa, aokotwa
Utata umezingira suala la kijana George Mgoba, ambaye amekuwa akijitambulisha kuwa kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) baada ya habari kuwa alitekwa na baadaye kutupwa kwenye Msitu wa Pugu, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania