Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri atekwa nyara na wanamgambo Libya

Wanamgambo wamemteka nyara naibu waziri wa maswala ya kigeni katika serikali inayotambuliwa kimataifa nchini Libya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Balozi wa Jordan atekwa nyara Libya

Balozi wa Jordan nchini Libya ametekwa nyara mjini Tripoli, katika shambulizi ambalo limemwacha dereva wake na majeraha mabaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani atekwa nyara Burundi

Mbunge wa zamani katika bunge la Afrika mashariki Francois Bizimana ameripotiwa kutekwa nyara siku ya jumapili mjini Bujumbura

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamaake Samson Siasia atekwa nyara Nigeria

Wapiganaji wamemteka nyara mamaake aliyekuwa mchezaji wa Nigeria Samson Siasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Temeke atekwa nyara, ajeruhiwa

Mwenyekiti wa Chadema, Wilaya ya Temeke, Joseph Yona (32), ametekwa nyara na kujeruhiwa vibaya kwa kipigo kisha kutupwa katika vichaka eneo la Tegeta Ununio, wilayani Kinondoni a watu wasiojulikana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Libya kuwakabili wanamgambo,Tripol

Serikali ya Libya imesema imeamuru vikosi vyake kuingia mjini Tripoli kupambana na wanamgambo wenye silaha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo kuchukuliwa hatua Libya

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio linalotoa wito wa kusitisha mapigano nchini Libya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Libya:Bunge lashtumu wanamgambo

Bunge jipya la Libya limeshtumu muungano wa wanamgambo ambao unajaribu kuuteka uwanja wa ndege wa mji wa Tripoli.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo wa Libya wasafirisha mafuta

Wanamgambo wa Libya wasafirisha wenyewe mafuta ya nchi na wayapeleka Korea Kaskazini

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji waiteka nyara hoteli Libya

Watu wenye silaha wameshambulia mojawepo ya hoteli maarufu zaidi katika mji mkuu wa Libya-Tripoli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani